AJALI: BASI LAGONGA COASTER TUNDUMA
Wananchi wakitoa msaada kwa baadhi ya abiria waliokuwa wamenasa katika Coaster lililogongwa na basi. Wananchi wakiwa eneo la Sogea, Tunduma ilipotokea ajali ya basi na Coaster. WATU kadhaa wamejeruhiwa katika ajali iliyolihusisha Basi la Shalom Express lililokuwa likitokea Sumbawanga - Mbeya lililogonga Coaster iliyokuwa inatokea Mbeya- Tunduma eneo la Sogea, Tunduma jioni hii. Coster lilikuwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Oct
Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster
10 years ago
GPLBASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA
11 years ago
GPLBASI LA NBS LAGONGA KIMARA DAR
10 years ago
VijimamboLORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
Namna gari la abilia lilivyoalibiwa na gari kubwa la mizigo aina ya scaniakwa picha zaidi bofya soma zaidiDamu ambazo ni kwa wale abiria walio jeruhiwa katika ajali hiyo.
Gari hilo likiwa limepasuka vioo vyote na kuharibika sehemu ya mbele pamoja na kutoka...
10 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi
10 years ago
StarTV22 Dec
Watu sita wafariki, wengine kujeruhiwa katika ajali Tunduma.
Na Amina Said,
Mbeya.
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea leo alasiri eneo la mlima Chengula Tunduma mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imehusisha magari matatu, basi ndogo aina ya Toyota costa T 203 ARZ iliyogongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Shalom express wakati costa hiyo ikijaribu kulipita lori aina ya TATA mali ya Usangu Logistic lenye namba T 789 AZL.
Majeruhi wamepelekwa kwenye hospitali ya serikali iliyopo Vwawa...
11 years ago
GPLAJALI YA BASI BUNDA
10 years ago
Habarileo07 Nov
Ajali ya basi, treni yaua 12
MATUKIO ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni katika makutano ya reli eneo la Kiberege, wilaya Kilombero mkoani Morogoro.