AJALI: BASI LAGONGA COASTER TUNDUMA

Wananchi wakitoa msaada kwa baadhi ya abiria waliokuwa wamenasa katika Coaster lililogongwa na basi. Wananchi wakiwa eneo la Sogea, Tunduma ilipotokea ajali ya basi na Coaster. WATU kadhaa wamejeruhiwa katika ajali iliyolihusisha Basi la Shalom Express lililokuwa likitokea Sumbawanga - Mbeya lililogonga Coaster iliyokuwa inatokea Mbeya- Tunduma eneo la Sogea, Tunduma jioni hii. Coster lilikuwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Oct
Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster
10 years ago
GPL
BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA
11 years ago
GPL
BASI LA NBS LAGONGA KIMARA DAR
10 years ago
Vijimambo
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR





10 years ago
GPL
TASWIRA ZA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi
10 years ago
StarTV22 Dec
Watu sita wafariki, wengine kujeruhiwa katika ajali Tunduma.
Na Amina Said,
Mbeya.
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea leo alasiri eneo la mlima Chengula Tunduma mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imehusisha magari matatu, basi ndogo aina ya Toyota costa T 203 ARZ iliyogongana uso kwa uso na basi la kampuni ya Shalom express wakati costa hiyo ikijaribu kulipita lori aina ya TATA mali ya Usangu Logistic lenye namba T 789 AZL.
Majeruhi wamepelekwa kwenye hospitali ya serikali iliyopo Vwawa...
11 years ago
GPL
AJALI YA BASI BUNDA
10 years ago
Habarileo07 Nov
Ajali ya basi, treni yaua 12
MATUKIO ya ajali za barabarani nchini yameendelea kuteketeza maisha ya Watanzania, baada ya jana watu 12 kufa papo hapo katika ajali iliyohusisha basi na treni katika makutano ya reli eneo la Kiberege, wilaya Kilombero mkoani Morogoro.