Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MPWA AKIWA NA CEO WA BAMA BONGO NDANI YA BIRMINGHAM, AL

CEO wa Bama Bongo akiwa na mpwa ndani Birmingham Jimbo la Alabama  wakiangalia mchezo wa kikapu kati Wizard na Miami 

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Nigeria latwaa mji wa Bama

Jeshi la Nigeria limeutwaa tena mji wa Baka kutoka mikononi mwa wapiganaji wa Boko Haram

 

9 years ago

BBCSwahili

Mama abebwa akiwa ndani ya choo

Mwanamke aliyekuwa akitumia choo cha muda alibebwa na kupelekwa kwingine baada ya choo hicho kubebwa juu na tracta kimakosa

 

10 years ago

Bongo5

Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster

Msanii wa kundi la 2mbili wa Town, Baba Levo amepata ajali baada ya basi la kampuni ya AM Coach alilokuwa amepanda kugongana na Coaster. Kwa mujibu wa Millardayo.com, ajali hiyo imetokea kwenye pori la kijiji cha Uluwila ambapo alikuwa anatokea Tabora kwenda Mpanda. Inadaiwa kuwa dereva wa Coaster alikuwa akikwepa barabara mbovu na hivyo kuhamia […]

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND AKIWA NDANI YA IKULU KUONYESHA MAFANIKIO YAKE KWA MH. RAIS DKT KIKWETE

Thank you so much Mr president @jmkikwete .... daima nitaendelea kujituma na kuhakikisha naitumikia vyema nchi yangu #StateHouse #Earliertoday Haya ni maneno yake mwenyewe akitiririka. Diamond na kijana anaejituma na mwenye mafanikio kupitia music wake na kwa sasa ametokea kuwa balozi wa Tanzania popote pale jina lake lipo juu. Uwezi kuitaja Tanzania bila Diamond.

 

10 years ago

Vijimambo

Perro Aguayo wa mixico afariki dunia akiwa ndani ya ulingo wa mieleka baada ya pigo moja

Pedro Aguayo Ramirez aliyejulikana kwa jina la Hijo del Perro Aguayo alifariki baada ya kupigwa teke na Rey MysterioTaarifa kuhusu kuanza kwa uchunguzi huo imetolewa na ofisi ya mashtaka ya jimbo Baja California.
Pedro Aguayo Ramirez, aliyejulikana kwa jina la Hijo del Perro Aguayo, alianguka na kupoteza fahamu kwenye kamba za ulingoni baada ya kupigwa teke na mchezaji mieleka wa zamani wa WWE, Oscar Gutierrez, maarufu kama Rey Mysterio Jr. kwa mujibu wa video ya mechi hiyo.Rey...

 

11 years ago

GPL

MPWA WA MAHITA AJINYONGA UKWENI

Na Dustan Shekidele,Morogoro
MTU mmoja aitwaye Said Mchuma anayedaiwa kuwa ni mpwa wa aliyekuwa Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, IGP), Alhaj Omar Idd Mahita ameacha simanzi  baada ya kujinyonga ukweni kwa kutumia shuka. Tukio hilo limetokea mwishoni mwa wiki iliyopita Mtaa wa Tambuka, Kata ya Kingolwira Manispaa ya Morogoro. Inadaiwa kuwa, marehemu alichukua uamuzi huo baada ya miaka 7 tangu mkewe ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani