Perro Aguayo wa mixico afariki dunia akiwa ndani ya ulingo wa mieleka baada ya pigo moja
![](http://img.youtube.com/vi/DzJ4eFkQZkY/default.jpg)
Pedro Aguayo Ramirez aliyejulikana kwa jina la Hijo del Perro Aguayo alifariki baada ya kupigwa teke na Rey MysterioTaarifa kuhusu kuanza kwa uchunguzi huo imetolewa na ofisi ya mashtaka ya jimbo Baja California.
Pedro Aguayo Ramirez, aliyejulikana kwa jina la Hijo del Perro Aguayo, alianguka na kupoteza fahamu kwenye kamba za ulingoni baada ya kupigwa teke na mchezaji mieleka wa zamani wa WWE, Oscar Gutierrez, maarufu kama Rey Mysterio Jr. kwa mujibu wa video ya mechi hiyo.Rey...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Pigo Simba, Muchacho afariki Dunia
MWANACHAMA maarufu wa klabu ya Simba na mwasisi wa kundi la ushangiliaji la Muchacho, lenye maskani yake Manzese, jijini Dar es Salaam, Abrahaman Muchacho, amefariki dunia. Kwa mujibu wa Ofisa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
PIGO LINGINE BONGO MUVI: GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo
Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog, ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu ya maradhi...
10 years ago
Bongo525 Mar
Video: Snoop Dogg atua kwenye mieleka akiwa na Hulk Hogan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZrxKHDDh9E/XnZiMeRW5KI/AAAAAAALkqg/0yhByVpa9FUJp3pSlr5HHeMNTmv3kXB-ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111379616_gettyimages-544028466.jpg)
Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZrxKHDDh9E/XnZiMeRW5KI/AAAAAAALkqg/0yhByVpa9FUJp3pSlr5HHeMNTmv3kXB-ACLcBGAsYHQ/s640/_111379616_gettyimages-544028466.jpg)
Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".
Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.
Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKP2wQKUDNl1M1MUIpcUXJpT0VADl2r24m5rSwyVoVdsZrjgq*2ARGQMp*Av8W*Vb-Uj*CrS*EEtR-wszzPojolj/Mwingine.jpg?width=650)
MWINGINE AFARIKI DUNIA! WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcWCUrGeoL6-1UvJUiK79K57IOCFMo-5Sq37MdJtP1GWNdU*AfGB*jQItK7OCURoR3MFc7yd3JpBwZ*A9k576sqB/Shehe.jpg)
KATIBU BAKWATA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKA CHOONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2K8f547hRfR7w4D6Yd1Xd*dSfLlwsfT*rV6q-SNZ54c-vjOL5eZhUOfjqwa9en02TNocrUR2G5DB0i-CpS3TXyI/1oMARLBOROMANERICLAWSON570.jpg?width=450)
ERIC LAWSON 'MARLBORO' AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 72