Yanga yaombewa dua
Rais wa TFF Jamal Malinzi ameitakia kila la kheri timu ya Yanga katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Katiba inayopendekezwa yaombewa dua njema
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Rehema Nchimbi akihutubia wakati wa dua ya kuiombea Katiba mpya inayopendekezwa.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
DUA ya shukurani ya kuiombea Katiba mpya Inayopendekezwa imefanyika jana mjini Dodoma na viongozi mbalimbali wa dini toka madhehebu mbalimbai yakiwemo ya Kiislamu, Kikristo, Wasabato, Wahamadiya, Jamaat Khan, Singh Temple na CCT-Dodoma.
Akiongea wakati wa dua hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi, Mhe. Dkt. Rehema...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXsh-Hs3C8k9kddxygIwBBISjSaJowi2e7b9IWwyC8joxBKGK3haUNKc8PjhsYWiNgyXNyQ4Tu0Pkxqzq3MObZ/kocha.jpg?width=650)
Kocha Simba aipigia dua mechi ya Yanga na Azam FC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL3ZmPMd3ID1d19wGzmRlWmcLC0tXUxIOPVhVBlDZikEfPRIW*rsukmwUVx2PJ2kxV0KBsM0ek6qZEvl1bA7MvnA/MAOMBI.jpg?width=650)
MAITI YAOMBEWA IFUFUKE, YAGOMA
9 years ago
Bongo Movies31 Oct
Wema Aangusha Dua
WEMA Sepetu ‘Madam’ ameangusha dua ya nguvu nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar ikiwa ni maalum kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa ushindi wa rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.
Dua hiyo ilifanyika juzi na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali walioshiriki kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo baada ya kumalizika kwa dua hiyo pamoja na kula chakula, Madam alisimama na kuzungumza:
“Wasanii wenzangu wakumbuke kusoma dua kila...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW23FEq5R8sEA-gVJAfpIiahhN0dgkyK*FQ1NaVOS8X3L1I0itp0WFvPYb0DHb7y1SongoRkbGdRslSnMI*Dh4*ST/BACKRISASI.jpg?width=650)
DUA YAMUOKOA ASIUAWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKEAqRd4PmHbToHfvjq5KwOER60R-OLJVjDKhy9SatXakPL4dTpZ9ezQvQtAJCxp8bYLGk5bPNwab4hhxNyDqIMRa/jojo1.jpg?width=650)
JOKATE AANGUSHIWA DUA NA WATOTO!
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Dua Saidi mbaroni DarÂ
NYOTA wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dua Said, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za kuunganisha huduma ya maji...