Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dua Saidi mbaroni Dar 

NYOTA wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dua Said, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za kuunganisha huduma ya maji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Barca yanoa makocha Dar 

MAKOCHA 30 wa klabu za Ligi Kuu Bara na Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara, jana walianza kliniki ya siku mbili ya mafunzo ya soka inayoendeshwa na wakufunzi kutoka FC...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani wa Serengeti Boys watua Dar 

TIMU ya soka ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Afrika Kusini ‘Amajimbos’, imewasili nchini kwa mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo walipua dara la pili Nigeria

Wakaazi wa kazkazini mashariki mwa Nigeria wanasema kuwa washukiwa wa kundi la Boko haramu wamelilipua daraja jingine .

 

10 years ago

GPL

AJALI YATOKEA AFRIKANA MBUYUNI DARA

Umati wa watu wakishuhudia Gari la Kikosi cha Zimamoto na askari wa kikosi hicho wakijitahidi kuzima moto eneo ya tukio. Askari wa Kikosi cha Zimamoto wakisaidiwa na wananchi kuinua gari dogo aina ya Allteza lililoteketea kwa moto mtaroni likiwa na watu watatu ambao inasemekana nao wameteketea.
Gari  aina ya Allteza imepata ajali hapa Africana karibu na Mbuyuni,  imewaka moto na inasemekana hakuna mtu aliyetoka kwani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sultan Sikilo wa Taswa afariki dunia, azikwa Dar 

MWEKA Hazina wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), Sultan Sikilo, amefariki dunia na amezikwa jana katika makaburi ya Kibada, Kigamboni katika Manispaa ya Temeke. Msiba huo...

 

9 years ago

MillardAyo

Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio)

Kama umekuwa mfatiliaji wa stori za Magazetini wiki iliyopita kulikuwa na stori kubwa ambayo ilitawala sana kuhusu ishu ya ripoti za vipimo vya DNA kuwa kati ya walioenda kupima DNA imeonesha 49% ya watoto wanalelewa na baba ambao sio baba wazazi. Baba wa mtoto huyo amesimulia kwamba hakupendezwa na kitendo cha dada mmoja anayeuza duka la […]

The post Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Picha nne za Rais Magufuli kwenye ibada ya Christmas Dar…

HappyBoxing Day Mtu WANGU !! Jana December 25 2015 ilikuwa siku ambayo wakristo sehemu mbalimbali Duniani waliungana kusherehekea sikukuu ya Christmas… lakini haikuwa sherehe tu ya kukaa nyumbani na kusherehekea, ilikuwa siku ya kukutana kwenye nyumba za ibada kwa ajili ya kusali na kumshukuru MUNGU. Rais John Magufuli aliongozana pia na Mama Janeth Magufuli kwenda […]

The post Picha nne za Rais Magufuli kwenye ibada ya Christmas Dar… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Saidi Yakubu becomes a Chartered Secretary

 Simon Osborne,the CEO of the Institute of Chartered Secretary and Administrators(ICSA) congratulating Advocate Saidi Yakubu after becoming an Associate Member of the Institute.The colourful Ceremony was held in Kampala,Uganda and was attended by graduands from Kenya,Uganda,Malawi,Zambia and Tanzania.ICSA is the membership and qualifying body for Company Secretaries and other professionals working in governance and compliance roles.  A cross section of the 53 new qualified ICSA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani