Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barca yanoa makocha Dar 

MAKOCHA 30 wa klabu za Ligi Kuu Bara na Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara, jana walianza kliniki ya siku mbili ya mafunzo ya soka inayoendeshwa na wakufunzi kutoka FC...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makocha Barca wakabidhi vyeti

MAKOCHA wa FC Barcelona ya Hispania waliokuwa wakiendesha kliniki ya mafunzo ya soka kwa siku mbili jijini Dar es Salaam, waliyafunga jana na kurejea kwao, huku wakikiri kuwa na furaha...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Habarileo

Dodoma yanoa walimu wake wa sayansi

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi amesema serikali mkoani humo itaendelea kuimarisha mazingira ya kufundishia masomo ya sayansi ili wanafunzi wajenge uelewa zaidi na kufaulu vizuri.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting

>Yanga ina fursa ya kuishusha kileleni Azam FC kwa muda kama watashinda leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya   Ligi Kuu itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dua Saidi mbaroni Dar 

NYOTA wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dua Said, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za kuunganisha huduma ya maji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani wa Serengeti Boys watua Dar 

TIMU ya soka ya vijana wa chini ya umri wa miaka 17 ya Afrika Kusini ‘Amajimbos’, imewasili nchini kwa mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanamgambo walipua dara la pili Nigeria

Wakaazi wa kazkazini mashariki mwa Nigeria wanasema kuwa washukiwa wa kundi la Boko haramu wamelilipua daraja jingine .

 

10 years ago

GPL

AJALI YATOKEA AFRIKANA MBUYUNI DARA

Umati wa watu wakishuhudia Gari la Kikosi cha Zimamoto na askari wa kikosi hicho wakijitahidi kuzima moto eneo ya tukio. Askari wa Kikosi cha Zimamoto wakisaidiwa na wananchi kuinua gari dogo aina ya Allteza lililoteketea kwa moto mtaroni likiwa na watu watatu ambao inasemekana nao wameteketea.
Gari  aina ya Allteza imepata ajali hapa Africana karibu na Mbuyuni,  imewaka moto na inasemekana hakuna mtu aliyetoka kwani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sultan Sikilo wa Taswa afariki dunia, azikwa Dar 

MWEKA Hazina wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), Sultan Sikilo, amefariki dunia na amezikwa jana katika makaburi ya Kibada, Kigamboni katika Manispaa ya Temeke. Msiba huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani