Sultan Sikilo wa Taswa afariki dunia, azikwa DarÂ
MWEKA Hazina wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), Sultan Sikilo, amefariki dunia na amezikwa jana katika makaburi ya Kibada, Kigamboni katika Manispaa ya Temeke. Msiba huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BlSO3TVinjlPT4LFEWKsvInNy3hC5UrDFyvaq27rpLzzKrTYuZtkNKcyCnqin4sefRLUMEmbLjx496hATmaH0K1li0JIXvFY/SULTAN.jpg)
RAMBIRAMBI MSIBA WA MTANGAZAJI SULTAN SIKILO
Marehemu Sultan Sikilo (wa kwanza kulia) enzi za uhai wake akiwa na wanahabari Elius Kambili (katikati) na Isack Gamba (wa kwanza kushoto). (Picha na Maktaba Yetu) Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mtangazaji wa michezo wa Radio Abood, Sultan Sikilo kilichotokea jana alfajiri (Januari 11 mwaka huu) jijini Dar es Salaam. Sikilo ambaye pia aliwahi kufanyia kazi Radio Times na Radio...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kf95AL0NnSE/U-4laRFyU1I/AAAAAAAF_48/ygC08bshZqs/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Mjane wa Rais wa Awamu ya TATU wa ZANZIBAR MAREHEMU Idrisa Abdulwakil Afariki Dunia, azikwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-kf95AL0NnSE/U-4laRFyU1I/AAAAAAAF_48/ygC08bshZqs/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YC9GFKqnbTQ/U-4la98EYfI/AAAAAAAF_5A/Ksk7yLBQrAM/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Mkuu wa Wilaya ya Micheweni afariki, azikwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, jana aliungana na wananchi kisiwani Pemba, katika mazishi ya Mkuu wa Wilaya ya Micheweni, Jabu Khamis Mbwana aliyefariki dunia jana kijijini kwake Kiuyu Micheweni.
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
>Mtume wa Kanisa la World Message Last Warning ambaye alitabiri kwamba mwaka 2000 utakuwa mwisho wa dunia, Wilson Bushara (53) amefariki dunia.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
Habari na picha na Editha Karlo, wa Globu ya Jamii Kigoma
MTU mmoja ambaye ni raia kutoka nchi ya Burundi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Kigoma kwa ugonjwa usiojulikana.
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
10 years ago
MichuziBenki ya Posta yazing’arisha Taswa FC, Taswa Queens
Benki ya Posta Tanzania (TPB) imeendelea kuisadia timu ya Waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC) baada ya kuikabidhi vifaa vya michezo kwa ajili ya kutumika katika mashindani na michezo mbali mbali ya kirafiki.
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania