RAMBIRAMBI MSIBA WA MTANGAZAJI SULTAN SIKILO
Marehemu Sultan Sikilo (wa kwanza kulia) enzi za uhai wake akiwa na wanahabari Elius Kambili (katikati) na Isack Gamba (wa kwanza kushoto). (Picha na Maktaba Yetu) Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mtangazaji wa michezo wa Radio Abood, Sultan Sikilo kilichotokea jana alfajiri (Januari 11 mwaka huu) jijini Dar es Salaam. Sikilo ambaye pia aliwahi kufanyia kazi Radio Times na Radio...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MSIBA WA MTANGAZAJI WA ZAMANI WA RADIO TANZANIA MSHINDO MKEYENGE
Katika salamu alizomtumia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar Es Salaam, Mheshimiwa Sofia Mjema leo, Jumanne, Mei 26, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa kifo cha Mzee...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Sultan Sikilo wa Taswa afariki dunia, azikwa DarÂ
MWEKA Hazina wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), Sultan Sikilo, amefariki dunia na amezikwa jana katika makaburi ya Kibada, Kigamboni katika Manispaa ya Temeke. Msiba huo...
10 years ago
GPLMSIBA: MTANGAZAJI BEN KIKO AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI MSEBULA
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA JAMES KISAKA
11 years ago
MichuziRAMBIRAMBI MSIBA WA KANALI MWANAKATWE
Kwa mujibu wa binti wa marehemu, Sophia, baba yake alianguka bafuni nyumbani kwake Mbezi Beach ambapo alikimbizwa katika Hospitali ya Lugalo ambapo ndipo umauti ulipomfika wakati madaktari wakimpatia matibabu.
Kanali...
10 years ago
MichuziRAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE
Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY