RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni David Lugenge kilichotokea jana (Septemba 7 mwaka huu) kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI MSEBULA
11 years ago
Tanzania Daima09 Sep
TFF yamlilia Mwamuzi Luteni David Lugenge
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni David Lugenge kilichotokea juzi kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni...
11 years ago
Michuzi
RAMBIRAMBI MSIBA WA KANALI MWANAKATWE


Kwa mujibu wa binti wa marehemu, Sophia, baba yake alianguka bafuni nyumbani kwake Mbezi Beach ambapo alikimbizwa katika Hospitali ya Lugalo ambapo ndipo umauti ulipomfika wakati madaktari wakimpatia matibabu.
Kanali...
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA JAMES KISAKA
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA MCHEZAJI BONIFACE NJOHOLE
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA MTANGAZAJI SULTAN SIKILO
11 years ago
Michuzi
TFF YATOA RAMBIRAMBI MSIBA WA GEORGE MPONDELA

Kwa mujibu wa klabu ya Yanga, Marehemu Mpondela anatarajiwa kuzikwa Alhamisi (Juni 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, na msiba upo Kigamboni Mnarani.
Mpondela alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga katika uchaguzi uliofanyika mwaka 1994 baada ya...