RAMBIRAMBI MSIBA WA KANALI MWANAKATWE
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wake (wakati huo ikiitwa FAT), Kanali mstaafu Ali Hassan Mwanakatwe kilichotokea leo asubuhi (Juni 7 mwaka huu) katika Hospitali Kuu ya Jeshi (GMH) Lugalo jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa binti wa marehemu, Sophia, baba yake alianguka bafuni nyumbani kwake Mbezi Beach ambapo alikimbizwa katika Hospitali ya Lugalo ambapo ndipo umauti ulipomfika wakati madaktari wakimpatia matibabu.
Kanali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTFF YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA KANALI MWANAKATWE
Kwa mujibu wa binti wa marehemu, Sophia, baba yake alianguka bafuni nyumbani kwake Mbezi Beach ambapo alikimbizwa katika Hospitali ya Lugalo ambapo ndipo umauti ulipomfika wakati madaktari wakimpatia...
10 years ago
MichuziRAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE
Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI MSEBULA
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA JAMES KISAKA
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA MCHEZAJI BONIFACE NJOHOLE
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA MTANGAZAJI SULTAN SIKILO
11 years ago
GPLNDUGU AINGIA MITINI NA RAMBIRAMBI MSIBA WA TYSON