RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI MSEBULA

Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi Methusela Msebula kilichotokea juzi (Januari 13 mwaka huu) katika Wilaya ya Bukombe mkoani Geita. Mwamuzi Msebula ambaye alikuwa mwamuzi daraja la kwanza (class one) alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari, maradhi ambayo yalimsababisha kuwa nje ya uchezeshaji mechi za mpira wa miguu kwa karibu misimu miwili. Msiba huu ni mkubwa kwa jamii ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE

Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...
11 years ago
Michuzi
RAMBIRAMBI MSIBA WA KANALI MWANAKATWE


Kwa mujibu wa binti wa marehemu, Sophia, baba yake alianguka bafuni nyumbani kwake Mbezi Beach ambapo alikimbizwa katika Hospitali ya Lugalo ambapo ndipo umauti ulipomfika wakati madaktari wakimpatia matibabu.
Kanali...
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA JAMES KISAKA
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA MTANGAZAJI SULTAN SIKILO
11 years ago
GPL
RAMBIRAMBI MSIBA WA MCHEZAJI BONIFACE NJOHOLE
11 years ago
GPL
NDUGU AINGIA MITINI NA RAMBIRAMBI MSIBA WA TYSON