Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yamlilia Mwamuzi Luteni David Lugenge

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni David Lugenge kilichotokea juzi kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAMBIRAMBI MSIBA WA MWAMUZI LUGENGE

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni  David Lugenge kilichotokea jana (Septemba 7 mwaka huu) kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga.
Luteni Lugenge ambaye mwishoni mwa wiki alishiriki mitihani ya utimamu wa mwili kwa waamuzi wa Ligi Kuu alikuwa na ndugu yake Christopher Alexander Lunyungu katika gari dogo wakienda mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Mpondela

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, George Mpondela ‘Castro’ kilichotokea Jumamosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Kasinde

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mkufunzi wa waamuzi nchini, Omari Kasinde, kilichotokea jijini Dar es Salaam juzi, na kwamba kimeacha pengo katika familia ya soka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Boniface Njohole

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha mchezaji wa zamani wa timu ya Reli ya Morogoro, Boniface Njohole, kilichotokea juzi Januari 12, mkoani Morogoro. Njohole,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia James Kisaka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeelezea kupokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57), kilichotokea jana asubuhi katika Hospitali ya Burhani jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Gebo Peter

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha nyota wa zamani wa timu ya Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Gabriel ‘Gebo’ Peter, kilichotokea usiku wa kuamkia...

 

10 years ago

Mtanzania

ACT yamlilia Yamola

CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimetuma salamu za rambirambi kwa tasnia ya habari nchini na familia ya marehemu Sophia Yamola, kutokana na kifo chake kilichotokea juzi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo. Anaripoti Mwandishi Wetu Dar es Salaam.
Rambirambi hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Anna Mghwira, ambaye alisema ni pigo kwa kada nzima ya uandishi wa habari nchini na kutaka waandishi, ndugu na familia ya marehemu kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu kwao.
Mghwira,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yamlilia Denis Liwewe

Zambia inaomboleza Kifo cha Mtangazaji Gwiji wa soka nchini humo Mzee Dennis Liwewe. Erick David Nampesya amendaa makala ifuatayo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani