Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF yamlilia Boniface Njohole

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha mchezaji wa zamani wa timu ya Reli ya Morogoro, Boniface Njohole, kilichotokea juzi Januari 12, mkoani Morogoro. Njohole,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Boniface Njohole afariki dunia Morogoro

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Reli ya Morogoro na Taifa Stars, Boniface Njohole amefariki dunia katika kijiji cha Mgeta tarafa ya Ifakara wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro.

 

11 years ago

GPL

RAMBIRAMBI MSIBA WA MCHEZAJI BONIFACE NJOHOLE

Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mchezaji wa zamani wa timu ya Reli Morogoro, Boniface Njohole kilichotokea jana (Januari 12 mwaka huu) mkoani Morogoro. Njohole ambaye alikuwa mjumbe wa Kamati ya Ufundi na Mashindano ya Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Morogoro (MRFA) hadi umauti unamkuta anatarajia kuzikwa kesho (Januari 14 mwaka huu) kijijini kwao Mngeta wilayani Ifakara. Msiba huu ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Mpondela

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, George Mpondela ‘Castro’ kilichotokea Jumamosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Kasinde

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mkufunzi wa waamuzi nchini, Omari Kasinde, kilichotokea jijini Dar es Salaam juzi, na kwamba kimeacha pengo katika familia ya soka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia James Kisaka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeelezea kupokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57), kilichotokea jana asubuhi katika Hospitali ya Burhani jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Gebo Peter

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha nyota wa zamani wa timu ya Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Gabriel ‘Gebo’ Peter, kilichotokea usiku wa kuamkia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Mwamuzi Luteni David Lugenge

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi wa daraja la kwanza (class one), Luteni David Lugenge kilichotokea juzi kwa ajali ya gari katika Wilaya ya Handeni...

 

10 years ago

Michuzi

BONIFACE WAMBURA WA TFF AONGELEA MAANDALZI YA MECHI YA WATANI WA JADI YANGA NA SIMBA

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumamosi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 7,000. Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000. Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo...

 

10 years ago

Mtanzania

ACT yamlilia Yamola

CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimetuma salamu za rambirambi kwa tasnia ya habari nchini na familia ya marehemu Sophia Yamola, kutokana na kifo chake kilichotokea juzi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo. Anaripoti Mwandishi Wetu Dar es Salaam.
Rambirambi hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Anna Mghwira, ambaye alisema ni pigo kwa kada nzima ya uandishi wa habari nchini na kutaka waandishi, ndugu na familia ya marehemu kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu kwao.
Mghwira,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani