Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT yamlilia Yamola

CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimetuma salamu za rambirambi kwa tasnia ya habari nchini na familia ya marehemu Sophia Yamola, kutokana na kifo chake kilichotokea juzi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo. Anaripoti Mwandishi Wetu Dar es Salaam.
Rambirambi hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Anna Mghwira, ambaye alisema ni pigo kwa kada nzima ya uandishi wa habari nchini na kutaka waandishi, ndugu na familia ya marehemu kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu kwao.
Mghwira,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Kasinde

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mkufunzi wa waamuzi nchini, Omari Kasinde, kilichotokea jijini Dar es Salaam juzi, na kwamba kimeacha pengo katika familia ya soka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Mpondela

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, George Mpondela ‘Castro’ kilichotokea Jumamosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia James Kisaka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeelezea kupokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57), kilichotokea jana asubuhi katika Hospitali ya Burhani jijini Dar es...

 

11 years ago

BBCSwahili

Zambia yamlilia Denis Liwewe

Zambia inaomboleza Kifo cha Mtangazaji Gwiji wa soka nchini humo Mzee Dennis Liwewe. Erick David Nampesya amendaa makala ifuatayo

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Gebo Peter

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha nyota wa zamani wa timu ya Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Gabriel ‘Gebo’ Peter, kilichotokea usiku wa kuamkia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Boniface Njohole

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha mchezaji wa zamani wa timu ya Reli ya Morogoro, Boniface Njohole, kilichotokea juzi Januari 12, mkoani Morogoro. Njohole,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Familia ya Kassig yamlilia Abdul-Rahman

Wazazi wa Abdul-Rahman Kassig raia wa Marekani aliyekuwa akifanya kazi katika mashirika ya misaada watoa rambi rambi maalumu.

 

11 years ago

GPL

EWURA YAMLILIA MENEJA WAO JULIUS GASHAZA

Jeneza lenye mwili wa marehemu Julius N. Gashanza.
Mke wa marehemu Gashanza, Mama Baraka (mwenye miwani) akiwa na simanzi nzito.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani