Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia ya Kassig yamlilia Abdul-Rahman

Wazazi wa Abdul-Rahman Kassig raia wa Marekani aliyekuwa akifanya kazi katika mashirika ya misaada watoa rambi rambi maalumu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama athibitisha kifo cha Kassig

Picha ya video iliyoonyesha kuwa ya Abdul Rahman Kassig akichinjwa, imethibitika kuwa ni kweli

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamsajili Baba Rahman

Klabu ya soka ya Chelsea imemsajili beki Abdul Rahman Baba kutoka klabu ya FC Augsburg ya Ujerumani

 

9 years ago

BBC

Rahman targets Chelsea starting role

Ghanaian Baba Rahman wants a regular place in the Chelsea first team after making his debut in the Champions League on Wednesday.

 

9 years ago

BBC

Chelsea sign Ghana defender Rahman

Chelsea sign Ghana international left-back Baba Rahman for an undisclosed fee from Augsburg, according to both clubs.

 

10 years ago

Mtanzania

ACT yamlilia Yamola

CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimetuma salamu za rambirambi kwa tasnia ya habari nchini na familia ya marehemu Sophia Yamola, kutokana na kifo chake kilichotokea juzi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo. Anaripoti Mwandishi Wetu Dar es Salaam.
Rambirambi hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Anna Mghwira, ambaye alisema ni pigo kwa kada nzima ya uandishi wa habari nchini na kutaka waandishi, ndugu na familia ya marehemu kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu kwao.
Mghwira,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Kasinde

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mkufunzi wa waamuzi nchini, Omari Kasinde, kilichotokea jijini Dar es Salaam juzi, na kwamba kimeacha pengo katika familia ya soka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia Mpondela

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea kwa masikitiko kifo cha aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, George Mpondela ‘Castro’ kilichotokea Jumamosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF yamlilia James Kisaka

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeelezea kupokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka (57), kilichotokea jana asubuhi katika Hospitali ya Burhani jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani