VOICE OF AMERICA YAMLILIA WAZIRI MAHIGA
![](https://img.youtube.com/vi/Sa8G84KcWmc/default.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-2_uYnmpE80s/Vc6wrA95yiI/AAAAAAAAIRg/j1ykvidbtAw/s72-c/IMG-20150814-WA0070.jpg)
STREET PASTOR A TEMBEA VOICE OF AMERICA
Street pastor Emmanuel Mgaya au Masanja Mkandamizaji ambae ni mgeni na mhubiri katika mkutano wa neno la Mungu ulioanza jana katika kanisa la The Way of The Cross Gospel Ministries jana Jumamosi alipata nafasi ya kutembelea Voice of America ambapo alifanyiwa mahojiano na watangazaji mahiri wa radio hiyo ya kimataifa mahojiano ambayo yalikuwa yakisikika moja kwa moja katika ukanda wa nchi za afrika zinazozungumza kiswalihi. Katika picha Masanja anaonekana akiwa na mwenyeji wake mchungaji...
10 years ago
Vijimambo01 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NfSknkeVdEs/VS_5gNXaxhI/AAAAAAAABN4/13jqfmT2avY/s72-c/Slaa3.jpg)
Dr. W. Peter Slaa kuunguruma Voice of America (VOA) Kesho April 17, 2015
Dr. Slaa: Mahojiano na Voice of America (VOA)
Dr. Slaa atakua VOA kesho April 17, 2015 saa 12:30 Asubuhi (6:30am) saa za Africa Mashariki.Leo April 16, 2015 saa 5:30 usiku (11:30pm) saa za USA Mashariki.
![](http://3.bp.blogspot.com/-NfSknkeVdEs/VS_5gNXaxhI/AAAAAAAABN4/13jqfmT2avY/s1600/Slaa3.jpg)
5 years ago
BBCSwahili01 May
Waziri wa Katiba Tanzania Balozi Mahiga afariki dunia
Taarifa kutoka Ikulu ya rais nchini Tanzania zimethibitisha kifo cha Waziri wa Katiba wa nchi hiyo Balozi Mahiga amefariki dunia.
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini
9 years ago
MichuziWaziri Mahiga akutana na Mabalozi wa Qatar na Kuwait waliopo nchini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-q87iFpnjFfQ/Xqw5C65PBcI/AAAAAAAC4Uc/9ctx4XFzf7cZzdxxruzU3Ljxo_86iIPHwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bmahiga.jpg)
NEWZ ALERT: Rais DKT Magufuli atangaza kifo cha Waziri Augustine Mahiga
![](https://1.bp.blogspot.com/-tNdl7USWnHE/XqvDvqNxUII/AAAAAAALouM/Fz0DNJC4wm4HiUGBcusNWlnLG0XeUn61wCLcBGAsYHQ/s640/pic%252Bmahiga.jpg)
Pichani ni aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mbunge) aliyefariki leo tarehe 01 Mei, 2020 Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3MJbvLHupIo/XqvDvmhQ0HI/AAAAAAALouI/6euLP_Yhfpc4uRS5BcyRyw4zlo4LNtFqQCLcBGAsYHQ/s1600/fc75030c-8c78-4d9b-944e-f591b032c434.jpg)
9 years ago
MichuziWaziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina hapa nchini, Mhe. Hazem Shabat. Tukio hilo lilifanyika Wizarani tarehe 30 Desemba, 2015.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania