Waziri Mahiga akutana na Mabalozi wa Qatar na Kuwait waliopo nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akifanya mazungumzo na Balozi wa Qatar Mhe. Abdullah Jassim Almaadadi alipofika Wizarani kwa ajili ya kumpongeza kwa kuteuliwa katika wadhifa wake mpya na pia kumhakikishia ushirikiano kati ya Tanzania na Qatar. Mazungumzo hayo yalifanyika tarehe 30 Desemba, 2015.
Balozi Al maadadi naye akizungumza huku Mhe. Mahiga akimsikiliza.
Mazungumzo yakiendelea.KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PKFz8PQNQuw/VS9m39VLedI/AAAAAAADigc/F9kL4pFA4Ow/s72-c/Kuwait%2B1.jpg)
WAZIRI MEMBE AKUTANA NA VIONGOZI WA KUWAIT FUND, KUWAIT CITY
![](http://3.bp.blogspot.com/-PKFz8PQNQuw/VS9m39VLedI/AAAAAAADigc/F9kL4pFA4Ow/s1600/Kuwait%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G8xUvIe25j4/VS9m5Z4LQvI/AAAAAAADig0/eqe9TZ5dFmI/s1600/Kuwait%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2bUcNE0QNdQ/VS9m4LxVRHI/AAAAAAADigk/pxhA6GtW27g/s1600/Kuwait%2B11.jpeg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLS079UZTw2DBcgT7p9ofj41VdyIAVbhpzIKlQWdVx2QQDvW0z1dLdcSHXYB-jF9RTEsNdhN4Vs7x2FG19gD5fRW/unnamed66.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
10 years ago
Vijimambo14 Nov
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA MISRI NA SUDAN HAPA NCHINI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t-TBECI1y70/VnlKXTmljwI/AAAAAAAIN5o/gbDlorOS-Dk/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, AKUTANA NA MABALOZI WA KUWAIT NA RWANDA OFISINI KWAKE IKULU DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-TBECI1y70/VnlKXTmljwI/AAAAAAAIN5o/gbDlorOS-Dk/s640/02.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NNxoHkgWyfA/VnlKbUkyqiI/AAAAAAAIN6E/3gfbYNL12bI/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVqkCIoDW7Q/VnlKcHjesFI/AAAAAAAIN6Q/xda56tn52Xw/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi wapya wa Kuwait,Malawi,Kenya na Afrika Kusini
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE APOKEA NAKALA ZA HATI UTAMBULISHO KUTOKA MABALOZI WA KUWAIT,MALAWI,AFRIKA KUSINI NA KENYA
10 years ago
VijimamboMaalim Seif akutana na Balozi wa Kuwait pamoja na mwakilishi wa shirika la afya duniani (WHO) nchini