WAZIRI MEMBE APOKEA NAKALA ZA HATI UTAMBULISHO KUTOKA MABALOZI WA KUWAIT,MALAWI,AFRIKA KUSINI NA KENYA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Kuwait hapa nchini, Mhe.Jasem Ibrahim Al-Najem leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akipokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Malawi hapa nchini Mhe.Hawa Ndilowe leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Balozi mpya wa Afrika Kusini hapa nchini Mhe.Thamsanqa Dennis Msekelu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi wapya wa Kuwait,Malawi,Kenya na Afrika Kusini
10 years ago
Vijimambo18 Feb
Rais Kikwete apokea hati za utambulisho kutoka Malawi,Kuwait.Afrika ya Kusini na Kenya
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Mabalozi Wateule wa Urusi na Algeria
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi wapya wa Rwanda na Norway hapa nchini
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Algeria
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Urusi
9 years ago
MichuziWaziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina hapa nchini, Mhe. Hazem Shabat. Tukio hilo lilifanyika Wizarani tarehe 30 Desemba, 2015.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kyOfYiu5sxE/U7bWLvj-TRI/AAAAAAAFu9s/ODhRJlnwFP0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK apokea hati za utambulisho ikulu kutoka kwa mabalozi wanne
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/JK.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI