Rais Kikwete apokea hati za utambulisho kutoka Malawi,Kuwait.Afrika ya Kusini na Kenya
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi wanne wanaoziwakiklisha nchi zao hapa Tanzania.Mabalozi walioziwasiliasha hati zao leo ikulu ni pamoja na Hawa Ndilowe- Malawi,Jasem Ibrahim Al- Najem- Kuwait, Thamsanqa Dennis Mseleku-Afrika ya Kusini na Chirau Ali Mwakwere- Kenya.Pichani Mabalozi hao wakiwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Baliozi mpya wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Hawa Ndilowe akiwasilisha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE APOKEA NAKALA ZA HATI UTAMBULISHO KUTOKA MABALOZI WA KUWAIT,MALAWI,AFRIKA KUSINI NA KENYA
10 years ago
MichuziWaziri Membe apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi wapya wa Kuwait,Malawi,Kenya na Afrika Kusini
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/JK.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Singapore
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Misri
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Israel
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Misri, Singapore, Israel na Ufilipino
9 years ago
Vijimambo07 Oct
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI
![H](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/H.jpg)
![N](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/N.jpg)
![P](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/P.jpg)
Balozi mteule wa Msumbiji nchini Tanzania Mhe. Monica Patricio Clemente akikabidhi hati ya...