DUA YAMUOKOA ASIUAWE
Dustan Shekidele, Morogoro. SWADAKTA! Katika hali ya kustaajabisha, kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan, ambaye mwishoni mwa wiki amejikuta akishushiwa kipigo kwa kudhaniwa kuwa kibaka, alisalimika baada ya kuanza kusali kwa kuwashtakia kwa Mwenyezi Mungu waliokuwa wakimpiga, akisema hakuwa na hatia na ghafla watu hao kusitisha kipigo. Kijana Ramadhan akishusha dua zito baada ya kushushiwa kipigo kikali. Ramadhan...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Mahakama yamuokoa Warioba
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imezuia Wakala wa Serikali wa Majengo (TBA) kumhamisha kwa nguvu Waziri
Mwandishi Wetu
10 years ago
Vijimambo05 Feb
Polisi auawa akiokoa mtoto asiuawe na baba yake mzazi
Askari Polisi PC Joseph Swai, ameuawa wakati akimwokoa mtoto wa miezi minane, aliyekuwa akiteswa na baba yake mzazi katika mtaa wa Chang'ombe Juu mjini hapa.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, David Misime, alisema tukio hilo lilitokea jana saa 5:00 asubuhi na kumtaja mtoto aliyekuwa anateswa kuwa ni Valerian Mallya.
Alisema awali, polisi huyo alipigiwa simu na Mtendaji wa mtaa wa Chang'ombe Juu, akimjulisha kuwa amepokea taarifa kutoka kwa Oliva...
11 years ago
GPLMTOTO MWAKA MMOJA ATELEKEZWA, OFM YAMUOKOA
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Yanga yaombewa dua
9 years ago
Bongo Movies31 Oct
Wema Aangusha Dua
WEMA Sepetu ‘Madam’ ameangusha dua ya nguvu nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar ikiwa ni maalum kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa ushindi wa rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.
Dua hiyo ilifanyika juzi na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali walioshiriki kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo baada ya kumalizika kwa dua hiyo pamoja na kula chakula, Madam alisimama na kuzungumza:
“Wasanii wenzangu wakumbuke kusoma dua kila...
10 years ago
GPLJOKATE AANGUSHIWA DUA NA WATOTO!
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Dua Saidi mbaroni DarÂ
NYOTA wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dua Said, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa tuhuma za kuunganisha huduma ya maji...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Dua ya kuliombea Bunge ni kiinimacho!
“USHIKWAPO shikamana” ni methali yenye maana kuwa ushikwapo na mtu shikamana au jitahidi. Methali hii yaweza kutumiwa kwa mtu aliyepatwa na tatizo kisha akapata mtu wa kumsaidia. Yamhimiza ajitahidi. Wengine husema...
10 years ago
GPLTEVEZ WA MASHAUZI AFANYA DUA