Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema Aangusha Dua

WEMA Sepetu ‘Madam’ ameangusha dua ya nguvu nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar ikiwa ni maalum kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa ushindi wa rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Dua hiyo ilifanyika juzi na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali walioshiriki kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo baada ya kumalizika kwa dua hiyo pamoja na kula chakula, Madam alisimama na kuzungumza:

“Wasanii wenzangu wakumbuke kusoma dua kila...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MBASHA AANGUSHA PATI

Emmanuel Mbasha akiwaongoza waimbaji wengine wakitumbuza kwenye sherehe yake hiyo. Musa Mateja ASANTE Mungu! Mume wa muimba Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameangusha bonge la pati nyumbani kwake Tabata Kimanga Mwisho, jijini Dar, Jumapili iliyopita kama shukrani kwa Mungu kwa kumfanikisha kushinda kesi ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili. Rumba la Yesu likinoga. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake siku ya tukio,...

 

9 years ago

GPL

KAJALA AANGUSHA PATI YA MIL.7

Na imelda mtema Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzi kati aliangusha bonge ya pati iliyogharimu takriban shilingi milioni saba ikiwa ni sehemu ya kujipongeza kwa kazi ngumu ya ujaji aliyokuwa akiifanya kwenye shindano la kusaka vipaji la Kinondoni (K.T.S) ambapo kwenye pati hiyo watu walikunywa, kula na wengine walilewa kwa pombe kali. Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwakaribisha wageni waalikwa. Akichonga na Ijumaa,...

 

11 years ago

GPL

DAKTARI AANGUSHA SEBENE LA NGUVU

Dk Christian wa Mwananyamala akiangusha sebene jukwaani. Toto ze Bingwa akimpa sapoti Dk Christiani.…

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AANGUSHA JUMBA, MIL. 50 ZATUMIKA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa mduara Zuwena Mohammed ‘Shilole’  baada ya kudondosha ndinga aina ya Toyota Lexus lenye thamani ya sh. mil. 25 ambalo alikuwa na ndoto nalo, sasa anashusha mjengo wenye vyumba vinne ulioko Kimara Bonyokwa, Dar. Zuwena Mohammed ‘Shilole’. Akipiga stori na Amani,  Shilole alisema kuwa anamshukuru Mungu ameweza kusimamisha mjengo wake na kuonekana mpaka sasa...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AANGUSHA PATI MWANZA

Na Issa Mnally, Mwanza ZIKIWA zimepita saa takriban sita tangu kuzikwa kwa msanii mahiri wa nyimbo za Kwaya, Kapteni John Komba, anayetajwa kuwa karibu zaidi na wasanii wa fani zote, Mchekeshaji Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ alifanya bonge la pati la kumbukumbu ya kuzaliwa kwake ndani ya Hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya Jiji la Mwanza, usiku wa Jumanne iliyopita. Mchekeshaji Steve Mengere ‘Steve...

 

10 years ago

Mtanzania

Aangusha ng’ombe watatu kusherehekea uwaziri

mwijageNa Elizabeth Mjatta
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, anadaiwa kuandaa ng’ombe watatu ambao watachinjwa leo kwa ajili ya kusherehekea kuteuliwa kushika wadhifa huo.
Mwijage, ambaye ni Mbunge wa Muleba Kaskazini (CCM), aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi hiyo Januari 24, mwaka huu, baada ya kufanya mabadiliko madogo katika baraza lake la mawaziri baada ya kuibuka sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow.
Taarifa ambazo gazeti hili limezipata...

 

10 years ago

GPL

MH. TEMBA AANGUSHA BETHIDEI YA NGUVU MTONI, DAR

Picha kubwa ya Mh.Temba. Mashabiki wa msanii huyo wakifuatilia moja ya burudani zilizokuwepo. Bendi ya Isha Mashauzi…

 

11 years ago

GPL

LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE

Stori: Mwandishi Wetu, Arusha
WAZIRI  Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Ngoyai Lowassa ameangusha bonge la pati la kuukaribisha mwaka 2014. Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza katika sherehe ya mwaka mpya nyumbani kwake Ngarashi Monduli.Pembeni yake ni mkewe mama Regina…

 

10 years ago

GPL

BAADA YAKUACHIKA: ROSE NDAUKA AANGUSHA SHEREHE!

SIKU chache baada muigizaji nyota wa filamu nchini, Rose Ndauka kutemana na bwana wake, Malik Bandawe, Jumanne iliyopita aliangusha bonge la sherehe iliyofana ndani ya Ukumbi wa Hoteli ya Collosseum, iliyopo Kariakoo jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao, Ijumaa lilikuwepo. Msanii nyota wa filamu nchini, Jack wa Chuz (kushoto) akimtunza msanii mwenzake, Rose Ndauka (kulia)
Sherehe hiyo ya Rose, ambaye alizaliwa siku moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani