Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAJALA AANGUSHA PATI YA MIL.7

Na imelda mtema Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzi kati aliangusha bonge ya pati iliyogharimu takriban shilingi milioni saba ikiwa ni sehemu ya kujipongeza kwa kazi ngumu ya ujaji aliyokuwa akiifanya kwenye shindano la kusaka vipaji la Kinondoni (K.T.S) ambapo kwenye pati hiyo watu walikunywa, kula na wengine walilewa kwa pombe kali. Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwakaribisha wageni waalikwa. Akichonga na Ijumaa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MBASHA AANGUSHA PATI

Emmanuel Mbasha akiwaongoza waimbaji wengine wakitumbuza kwenye sherehe yake hiyo. Musa Mateja ASANTE Mungu! Mume wa muimba Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameangusha bonge la pati nyumbani kwake Tabata Kimanga Mwisho, jijini Dar, Jumapili iliyopita kama shukrani kwa Mungu kwa kumfanikisha kushinda kesi ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili. Rumba la Yesu likinoga. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwake siku ya tukio,...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AANGUSHA PATI MWANZA

Na Issa Mnally, Mwanza ZIKIWA zimepita saa takriban sita tangu kuzikwa kwa msanii mahiri wa nyimbo za Kwaya, Kapteni John Komba, anayetajwa kuwa karibu zaidi na wasanii wa fani zote, Mchekeshaji Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ alifanya bonge la pati la kumbukumbu ya kuzaliwa kwake ndani ya Hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya Jiji la Mwanza, usiku wa Jumanne iliyopita. Mchekeshaji Steve Mengere ‘Steve...

 

11 years ago

GPL

LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE

Stori: Mwandishi Wetu, Arusha
WAZIRI  Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Ngoyai Lowassa ameangusha bonge la pati la kuukaribisha mwaka 2014. Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza katika sherehe ya mwaka mpya nyumbani kwake Ngarashi Monduli.Pembeni yake ni mkewe mama Regina…

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AANGUSHA JUMBA, MIL. 50 ZATUMIKA

Na Hamida Hassan
Staa wa muziki wa mduara Zuwena Mohammed ‘Shilole’  baada ya kudondosha ndinga aina ya Toyota Lexus lenye thamani ya sh. mil. 25 ambalo alikuwa na ndoto nalo, sasa anashusha mjengo wenye vyumba vinne ulioko Kimara Bonyokwa, Dar. Zuwena Mohammed ‘Shilole’. Akipiga stori na Amani,  Shilole alisema kuwa anamshukuru Mungu ameweza kusimamisha mjengo wake na kuonekana mpaka sasa...

 

11 years ago

GPL

PATI YA KAJALA YAIBUA MAMBO NCHINI CHINA

Na Musa Mateja
MAKUBWA! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameangusha pati nchini China kusherehekea siku yake ya kuzaliwa na kuibua minong’ono juu ya chanzo cha jeuri hiyo ya fedha. Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja Kufuru hiyo ya fedha ilianzia jijini Dar katika bethidei ya mwanaye (Paula) hivi karibuni ambapo awali alikwenda kutoa misaada ya vitu mbalimbali katika Shule ya Sinza Maalum kisha kuangusha...

 

11 years ago

GPL

KAJALA: SIMLIPI MIL.13 NG'O!

JAMBO limezua jambo! Zile shilingi milioni 13 alizolipa staa mkubwa wa kike Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ mahakamani ili kumnusuru Kajala Masanja kwenda gerezani, zinaendelea kusababisha fukuto na sasa Kajala amejibu mapigo, akisema hatamlipa Wema fedha hizo. Malkia wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja. Wema na Kajala wapo kwenye gogoro zito kwa muda mrefu huku mashabiki wa mastaa hao waliojipa...

 

11 years ago

GPL

WEMA: NAJUTA KUMLIPIA KAJALA MIL 13!

Stori:Na Shakoor Jongo KAMA kuna kitu kinakukwaza ndani ya moyo wako, siku zote ukikaa nacho kitazidi kukuumiza lakini ukiamua kumtafuta mtu ambaye umeshibana naye na kumsimulia, moja kwa moja utakuwa umeutua mzigo! Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akiwa Kajala Masanja. Hicho ndicho amekifanya Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ kwa kuweka kweupe chanzo cha ugomvi wake na staa mwenzake, Kajala...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kajala Atamani Kumlipa Wema Mil.13 Zake

Staa  mrembo  wa Bongo Movies, Kajala Masanja  kwa mara ya kwanza  ameibuka  na kutoa ya moyoni kuwa anatamani kulipa shilingi milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake  Wema Sepetu kama faini ili asiende jela miaka saba.

Akizungumza na gazeti la Amani, Kajala  alisema  kuwa huwa anaumia sana kila anapokumbuka kuwa alipewa kiasi hicho chapesa ingawa uwezo wa kulipa anao.

“Huwa  nateseka  sana kila ninapokumbuka kuwa nilitolewa 13 japokuwa naaamini alitoka kwa mmoja,kinachoniuma muhusika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani