KAJALA AANGUSHA PATI YA MIL.7
![](http://api.ning.com:80/files/7KfVtj4CX6iOAwUp6F51x2O22TKJDhrSrgU9-TbMW-X7b1xRtSH7hKGo8SrXyrz-FroHLBl6YA5*PAq0146JbqsjXdCOl6a-/Kajala.gif?width=650)
Na imelda mtema Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzi kati aliangusha bonge ya pati iliyogharimu takriban shilingi milioni saba ikiwa ni sehemu ya kujipongeza kwa kazi ngumu ya ujaji aliyokuwa akiifanya kwenye shindano la kusaka vipaji la Kinondoni (K.T.S) ambapo kwenye pati hiyo watu walikunywa, kula na wengine walilewa kwa pombe kali. Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwakaribisha wageni waalikwa. Akichonga na Ijumaa,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MBASHA-2.jpg?width=650)
MBASHA AANGUSHA PATI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytpaExUmKxEFxU97mIpioWWncJZMk5tVVRDBIMHLuHY1kXEvDTpblhwy1MDRy-lCoRzPNOMI5JP1K8mryVGktnHZ/Front.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AANGUSHA PATI MWANZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4cvPRsQZxTPCxcvyaJIbJznlhD4i7bvHxUTiH*BjDzww*iOyXW-OGo7VqH8EGXabMgbTXUK3zFvWnjsSKGinn5S/lowasaaacopy.jpg?width=650)
LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpzGerx3b*scgIzsxnQ-AVeY2ZWHb4BAXUQdkomh6-PqZaSmNdv4J*eWIfWBThXGFhExiVZNUbAIErWW*Ca-HhK7/NyumbaShilole.jpg?width=650)
SHILOLE AANGUSHA JUMBA, MIL. 50 ZATUMIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBCopdd0yAeU-SWwIJmfzU2YoYhLWmYm0JtrZFgrZ5kelSgYZ62XHr1Ox9aJ1H3gsomtbSQKTZk9rMCbgI1eMLG/kajala.jpg)
PATI YA KAJALA YAIBUA MAMBO NCHINI CHINA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw27gYFrk7Fo-uNZLAHvHU04dee4XA15hA97cbyb6A0oRsnoSWWZMjUw9hCo2kPPxrdeMB1qMDIipM8XZDQBR4x/mpepesazake.jpg?width=650)
KAJALA: SIMLIPI MIL.13 NG'O!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJuxWBht9blAFVidAGWNDc2mtilfYsIvxFM4tD7KTtajo9DAF3MTJA8h8G3SyxIe8RQXNTEuQTBu8KckK4qvb3q/UKOME.jpg?width=650)
WEMA: NAJUTA KUMLIPIA KAJALA MIL 13!
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Kajala Atamani Kumlipa Wema Mil.13 Zake
Staa mrembo wa Bongo Movies, Kajala Masanja kwa mara ya kwanza ameibuka na kutoa ya moyoni kuwa anatamani kulipa shilingi milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake Wema Sepetu kama faini ili asiende jela miaka saba.
Akizungumza na gazeti la Amani, Kajala alisema kuwa huwa anaumia sana kila anapokumbuka kuwa alipewa kiasi hicho chapesa ingawa uwezo wa kulipa anao.
“Huwa nateseka sana kila ninapokumbuka kuwa nilitolewa 13 japokuwa naaamini alitoka kwa mmoja,kinachoniuma muhusika...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)