TEVEZ WA MASHAUZI AFANYA DUA
![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9eOWtH-Ncbz84LYNtKg9TCJUujX-Cv*405Dp2oRcuufJUNu9pTRIKao5RnCZQEIWRf8*5dDIMOpU9asegLXYXG2/BACK.jpg?width=650)
DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO MUME wa ‘long time’ wa mwimbaji nyota wa kike wa muziki wa Taarab nchini, lsha Ramadhan ‘Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’ ambaye hivi karibuni alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika nchini Afrika Kusini, amerejea nchini na kufanya dua ya kumshukuru Mungu kwa kumnusuru kifo katika tukio hilo. Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiweka ubani wakati wa dua hiyo....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aMZYI63gCX4/VP32rRWRhmI/AAAAAAAHJOM/QB8NDRmZXCk/s72-c/press%2Bpic.jpg)
MZEE YUSSUF NA ISHA MASHAUZI WATHIBITISHA RASMI MTANANGE WA JAHAZI NA MASHAUZI CLASSIC
Onyesho hilo litafanyika mwezi huu Jumapili tarehe 22 ndani ya ukumbi wa Travertine Hotel Magomeni. Mkurugenzi wa Jahazi, Mzee Yussuf na mkurugenzi wa Mashauzi Classic, Isha Ramadhan maarufu kama Isha Mashauzi, wamesema siku hiyo hatumwi mtoto dukani.
Wakiongea katika mkutano huo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzNtKkCiMQ1zzwqsFnNzHJW-uSnsgeyZmjXlot*M9Sx7ZMDVjnIBLgZzMXO9Bqp9eLw62y3SPD3dHdXC8DTxHN81/BACKI.jpg)
EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA
10 years ago
Mtanzania19 May
Mtanzania amfuata Tevez Italia
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI Haji Ungando ametua katika timu ya Atalanta inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Italia ‘Serie A’, kufanya majaribio ya siku 10 baada ya timu hiyo kuvutiwa naye.
Kinda huyo akifanikiwa kusajiliwa na Atalanta inayoshika nafasi ya 17 Serie A, ataungana na washambuliaji wakubwa duniani kama Carlos Tevez (Juventus), Gonzalo Higuain (Napoli), Francesco Totti (Roma) wanaokipiga kwenye ligi hiyo.
Mmiliki wa kituo cha kukuza vipaji cha Jaki Sports Academy,...
10 years ago
TheCitizen29 Sep
Tevez and Buffon keep Juve on top
10 years ago
Vijimambo06 Feb
EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA, KUDHALILISHWA
![](http://api.ning.com/files/DIpsX3jcHzPKj9uiBg03VvmM9FD-0Oy2cRoeCC4M*bmgy1rYfbpXDzEmiOT96BBqQIx4Q55Q5viXMoH-pvwAEe0j4Hg3VSb*/hhhh.jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Carlos Tevez amerejea Boca Juniors
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uErcoZ1KdnLOKiO5fye2AyrXfYq94JTVsUgP-SJlgvwCS1iq8fJhCNxcs4dTsQU8iu-EwiRmVnKi*F6oSaxNv-rlYGbfa8pz/Ronaldo_1832871a.jpg)
HAPPY BIRTHDAY RONALDO, NEYMAR, TEVEZ NA BROWN
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nkVgNWUWe_k/VMsYVy3NH1I/AAAAAAAAncA/T-Mh2E9B370/s72-c/PICHA%2BZA%2BLEO%2B139.jpg)
Ukweli Kuhusu Tevez Aliyekatwa Uume Wake Baada ya Kuwazulumu Madawa ya Kulevya Wenzake
![](http://3.bp.blogspot.com/-nkVgNWUWe_k/VMsYVy3NH1I/AAAAAAAAncA/T-Mh2E9B370/s640/PICHA%2BZA%2BLEO%2B139.jpg)
9 years ago
Bongo Movies31 Oct
Wema Aangusha Dua
WEMA Sepetu ‘Madam’ ameangusha dua ya nguvu nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar ikiwa ni maalum kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa ushindi wa rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.
Dua hiyo ilifanyika juzi na kuhudhuriwa na wasanii mbalimbali walioshiriki kwenye kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo baada ya kumalizika kwa dua hiyo pamoja na kula chakula, Madam alisimama na kuzungumza:
“Wasanii wenzangu wakumbuke kusoma dua kila...