Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Carlos Tevez amerejea Boca Juniors

Mshambulizi wa Juventus Carlos Tevez amekamilisha uhamisho na kurejea Boca Juniors ya Argentina

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boca Juniors nje ya Copa Libertadores

Vigogo wa soka ya Argentina Boca Juniors wametupwa nje ya mchuano wa kombe la Copa Libertadores .

 

5 years ago

Goal

Cavani could join Boca Juniors 'very soon' – Bermudez

Cavani could join Boca Juniors 'very soon' – Bermudez  Goal

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wakutana na Robeto Carlos Uturuki

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, wametua nchini Uturuki salama juzi jioni na kufikia Hoteli ya Sueno Beach Side, iliyoko Manavgat pembezoni kidogo mwa Jiji la Antalya, ambayo pia timu...

 

9 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA

SPIKA WA BUNGE, JOB NDUGAI AMEREJEA LEO KUTOKA INDIA ALIKOKUWA KWA AJILI YA MATIBABU. AWASHUKURU WATANZANIA KWA MAOMBI YAO. AELEZEA HALI YAKE KUWA NI IMARA KABISA. Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akilakiwa na Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson mara baada ya kuwasili katika uwanja Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Nchini India alikokuwa kwa ajili ya matibabu.  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Naibu Waziri wa Nishai na Madini Mhe. Medard...

 

10 years ago

Mtanzania

Mtanzania amfuata Tevez Italia

carlos-tevezNA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI Haji Ungando ametua katika timu ya Atalanta inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Italia ‘Serie A’, kufanya majaribio ya siku 10 baada ya timu hiyo kuvutiwa naye.

Kinda huyo akifanikiwa kusajiliwa na Atalanta inayoshika nafasi ya 17 Serie A, ataungana na washambuliaji wakubwa duniani kama Carlos Tevez (Juventus), Gonzalo Higuain (Napoli), Francesco Totti (Roma) wanaokipiga kwenye ligi hiyo.

Mmiliki wa kituo cha kukuza vipaji cha Jaki Sports Academy,...

 

10 years ago

TheCitizen

Tevez and Buffon keep Juve on top

Defending champions Juventus maintained their narrow advantage over Roma at the top of Serie A with a 3-0 win at Atalanta on Saturday evening.

 

10 years ago

GPL

TEVEZ WA MASHAUZI AFANYA DUA

DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO MUME wa ‘long time’ wa mwimbaji nyota wa kike wa muziki wa Taarab nchini, lsha Ramadhan ‘Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’ ambaye hivi karibuni alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika nchini Afrika Kusini, amerejea nchini na kufanya dua ya kumshukuru Mungu kwa kumnusuru kifo katika tukio hilo. Jumanne Hassan ‘Tevez’ akiweka ubani wakati wa dua hiyo....

 

10 years ago

GPL

EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA

Na Musa Mateja
EXCLUSIVE! Kile kisa cha mtalaka wa mwimba taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhani Nkongo ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’ kuteswa na kudhalilishwa nchini Afrika Kusini kisa kikidaiwa ni kudhulumu mzigo wa wafanyabiashara wenzake kimeingia awamu nyingine!
Kwa mara ya kwanza Gazeti Pendwa la Amani Tanzania limeweza kuzungumza na Tevez kwa dakika arobaini na tano kutokea nchini humo...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kusikika tena kwenye XXL, DJ Fetty ajibu kama amerejea rasmi Clouds

Fetty2

Ijumaa ya November 20 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wasikilizaji wengi wa Clouds Fm hasa wa kipindi cha burudani XXL, baada ya kupata surprise ya kumsikia tena mtangazaji maarufu na anayependwa Fatma Hassan maarufu kama DJ Fetty kwenye kipindi hicho, ikiwa ni miezi miwili imepita toka alipotangaza kuacha kazi ya utangazaji September 15 mwaka huu.

Fetty2

Wengi wao walicomment kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kuelezea furaha yao, na kwasababu hakusema kama amerudi rasmi kutangaza au laa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani