Mtanzania amfuata Tevez Italia
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI Haji Ungando ametua katika timu ya Atalanta inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Italia ‘Serie A’, kufanya majaribio ya siku 10 baada ya timu hiyo kuvutiwa naye.
Kinda huyo akifanikiwa kusajiliwa na Atalanta inayoshika nafasi ya 17 Serie A, ataungana na washambuliaji wakubwa duniani kama Carlos Tevez (Juventus), Gonzalo Higuain (Napoli), Francesco Totti (Roma) wanaokipiga kwenye ligi hiyo.
Mmiliki wa kituo cha kukuza vipaji cha Jaki Sports Academy,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI HII JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s72-c/U.jpg)
MWANAMUZIKI MWANADADA MTANZANIA MWENYE ASILI YA ITALIA KUTUMBUIZA HOTELI YA MEDITERRANEO JUMAMOSI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
10 years ago
Dewji Blog29 May
Mwanamuziki mwanadada Mtanzania mwenye asili ya Italia kutumbuiza hoteli ya Mediterraneo Jumamosi hii jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-4uZf4Gj-pA8/VWcQQ5uwRQI/AAAAAAAAQbE/BI020rG5HCY/s640/U.jpg)
Mwanamuziki Chantal Saroldi kutoka Italia.
Mwanamuziki Chantal Saroldi (kushoto), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo mchana. Kulia ni Balozi wa Italia nchini, toka Italia.
Balozi wa Italia nchini, Luigi Sccoto (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, kuhusu tamasha la muziki litakalofanyika kesho Hoteli ya Mediterraneo iliyopo Kawe ambapo mwanamuziki huyo atatoa burudani.
Mkurugenzi wa Hoteli ya Mediterraneo waandaaji wa tamasha hilo, Samantar Abdinur...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6zh0cEJDY2w/XpTGhiOEApI/AAAAAAALm34/Fem5HNoSk2ANnUHHSxGThcwqxECWkJFYgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MTANZANIA ATOA USHUHUDA HALI ILIVYO NCHINI ITALIA BAADA YA MLIPUKO WA VIRUSI VYA COVID-19 ‘WAPO LOCKDOWN’
Hali ya Maambukizi ya Virusi vya COVID-19 imetajwa kuwa si shwari nchini Italia kwa Wananchi wengi nchini humo kujifungia ndani (Lockdown) kutokana na kasi ya maambukizi ya virusi hivyo vilivyosambaa sehemu nyingi duniani kwa sasa.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Parma (Parma Unniversity) kilichopo nchini Italia, Mtanzania Frank Charles amezungumza na Michuzi Blog, Michuzi TV ameeleza hali si shwari nchini humo kutokana na Wananchi wengi kujifungia ndani muda wote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzNtKkCiMQ1zzwqsFnNzHJW-uSnsgeyZmjXlot*M9Sx7ZMDVjnIBLgZzMXO9Bqp9eLw62y3SPD3dHdXC8DTxHN81/BACKI.jpg)
EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9eOWtH-Ncbz84LYNtKg9TCJUujX-Cv*405Dp2oRcuufJUNu9pTRIKao5RnCZQEIWRf8*5dDIMOpU9asegLXYXG2/BACK.jpg?width=650)
TEVEZ WA MASHAUZI AFANYA DUA
10 years ago
TheCitizen29 Sep
Tevez and Buffon keep Juve on top
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Carlos Tevez amerejea Boca Juniors
10 years ago
Vijimambo06 Feb
EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA, KUDHALILISHWA
![](http://api.ning.com/files/DIpsX3jcHzPKj9uiBg03VvmM9FD-0Oy2cRoeCC4M*bmgy1rYfbpXDzEmiOT96BBqQIx4Q55Q5viXMoH-pvwAEe0j4Hg3VSb*/hhhh.jpg)