EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA, KUDHALILISHWA
Majeraha ya mgongoni aliyopata, Jumanne Hassan ‘Tevez’ wakati wa kuteswa.Na Musa MatejaEXCLUSIVE! Kile kisa cha mtalaka wa mwimba taarab mahiri Bongo, Aisha Ramadhani Nkongo ‘Isha Mashauzi’, Jumanne Hassan ‘Tevez’ kuteswa na kudhalilishwa nchini Afrika Kusini kisa kikidaiwa ni kudhulumu mzigo wa wafanyabiashara wenzake kimeingia awamu nyingine!Kwa mara ya kwanza Gazeti Pendwa la Amani Tanzania limeweza kuzungumza na Tevez kwa dakika arobaini na tano kutokea nchini humo ambako anauguza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzNtKkCiMQ1zzwqsFnNzHJW-uSnsgeyZmjXlot*M9Sx7ZMDVjnIBLgZzMXO9Bqp9eLw62y3SPD3dHdXC8DTxHN81/BACKI.jpg)
EXCLUSIVE: TEVEZ AFUNGUKA ALIVYOTESWA
9 years ago
Bongo525 Aug
Exclusive: Diva apanga kumshtaki Diamond kwa madai ya kudhalilishwa na kutishiwa kupigwa
10 years ago
GPL26 Feb
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa46P8afXxzdWLvS4VIILqgIJdZ5q3QIfcje63jMYNyK1sIzPa3Z3*E8SgODN4wM8zwEsjhQXv-uxHmXNAA5lUrU/p.jpg?width=600)
EXCLUSIVE: BAADA YA HUKUMU, CHEKA AFUNGUKA KILA KITU
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-Tp1YHYBnk4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi22 Dec
10 years ago
GPL24 Feb
10 years ago
Dewji Blog21 Apr
EXCLUSIVE Gossip: “Dada wa Diamond Platnumz, Esma afunguka juu ya manyanyaso ya #teamWema mtandaoni
Esma mdogo wa Diamond Platnumz, aliyevunja ukimya, asubuhi ya leo juu ya kufuatwa fuatwa na watu wanaodaiwa kuwa ni wa marafiki wa Wema Sepetu #teamWema, ambao wamekuwa wakitukana na kumtaka asimsaidie kaka yake juu ya shughuli zake za muziki.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Kuna misemo mingi juu ya mawifi wengi ‘wanagugu’ hasa wa ndugu wa mme, hilo ndilo lililomkuta dada wa mwanamuziki nyota nayefanya vizuri Bongo nan je ya Bongo, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’ ajulikanaye kwa jina la Esma...
9 years ago
Bongo526 Nov
Exclusive: Director Nisher afunguka mengi kuhusu ukimya wake na changamoto alizopata mwaka huu
![Nisher7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nisher7-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya Muongozaji Wa Video Anayependwa katika Tuzo Za Watu 2014, director Nisher amefunguka kwa kirefu mambo mbalimbali kuhusu ukimya wake.
Muongozaji huyo wa video za muziki kutoka Arusha aliyekuja kwa kasi na kuwa gumzo kutokana na video kali alizotoa kuleta ushindani, amepiga story na Bongo5 na kuzungumzia mambo yaliyosababisha ukimya wake pamoja na changamoto alizokutana nazo mwaka huu.
2014 ni mwaka ambao ulifanya vizuri sana ikiwa ni pamoja na kushinda Tuzo Za Watu, na...