Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GAPCO YAPIGA TAFU MAENDELEO YA MICHEZO YA RIADHA NCHINI

Mkurugenzi mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu akimpongeza Simon Mlewa mshindi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia tricycle.Mkuu wa wilaya ya  Moshi Novatus Makunga akimkabidhi zawadi Joseph Mungure mshidi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia wheelchair. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania Vijay Nair, Meneja Masoko Caroline Kakwezi na Mkurugenzi Mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu. Kulia ni Katibu Mkuu wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

GAPCO yaipiga tafu maendeleo ya michezo ya riadha nchini

Gapco2

Mkurugenzi mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu akimpongeza Simon Mlewa mshindi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia tricycle.

Mkuu wa wilaya ya  Moshi Novatus Makunga akimkabidhi zawadi Joseph Mungure mshidi wa kwanza mbio za walemavu kwa upande wa wanaume wanaotumia wheelchair. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa GAPCO Tanzania Vijay Nair, Meneja Masoko Caroline Kakwezi na Mkurugenzi Mkuu wa GAPCO Afrika Mashariki Macharia Irungu. Kulia ni Katibu Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yapiga tafu madola

Wanamichezo wanaokwenda kushiriki michuano ya Madola wamepata dola 93,000, sawa na Sh160 milioni kutoka Kampuni ya Said Salim Bakharessa iliyowakabidhi jana mbele ya Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sahel Trading yapiga tafu mabondia Dar

KAMPUNI ya Sahel Trading Ltd ya jijini Dar es Salaam kupitia kwa Mkurugenzi Ally Hazam  imetoa mzani wa kupimia mabondia yenye kiwango cha juu kwa ajili ya kuondoa ubabaishaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha waeleza kinachokwamisha maendeleo ya michezo nchini

Makocha wengi nchini wanataka Serikali iingilie kati kuinususuru sekta ya michezo ambayo hivi sasa haifanyi vizuri.

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa (kushoto) akimuongoza mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole kwenda kuwafunda vijana wa timu ya Taifa chini ya miaka 17. Shughuli hiyo ilifanyika jana Dar es Salaam katika viwanja vya Karume mara baada ya mchezaji huyo kuzuru/kutembelea ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bwana Sunil Colaso.… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chai Bora yapiga tafu Kombe la Muungano Mufindi 2014

KAMPUNI ya Chai Bora na Benki ya Wananchi wa Mufindi (Mucoba), zimejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi 2004 yaliyoanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki. Kwa mujibu wa Mratibu...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAENDELEO YA MICHEZO NCHINI



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza   na Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia kwake ) na viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao cha kujadili maendeleo ya michezo nchini kilichofanyika kwenye makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini  Dar es salaam, Februari 25, 2020. (Picha na Ofisi ya...

 

5 years ago

Michuzi

SIHA YAPIGA HATUA KWA MAENDELEO


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, Ndaki Mhuli akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo, kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godson Ngomuo na Makamu Mwenyekiti Juma Juni.

*********************
HALMASHAURI ya Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro, imetumia sh69 bilioni kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mapato ya halmashauri, fedha za ruzuku za serikali kuu, michango ya wananchi na wadau wa maendeleo. 
Mkurugenzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani