Sahel Trading yapiga tafu mabondia Dar
KAMPUNI ya Sahel Trading Ltd ya jijini Dar es Salaam kupitia kwa Mkurugenzi Ally Hazam imetoa mzani wa kupimia mabondia yenye kiwango cha juu kwa ajili ya kuondoa ubabaishaji wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Azam yapiga tafu madola
Wanamichezo wanaokwenda kushiriki michuano ya Madola wamepata dola 93,000, sawa na Sh160 milioni kutoka Kampuni ya Said Salim Bakharessa iliyowakabidhi jana mbele ya Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NUV_gZ6r1P8/VQFjeLHuxJI/AAAAAAABdFM/FEQhJouM4lI/s72-c/Gapco2.jpg)
GAPCO YAPIGA TAFU MAENDELEO YA MICHEZO YA RIADHA NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NUV_gZ6r1P8/VQFjeLHuxJI/AAAAAAABdFM/FEQhJouM4lI/s1600/Gapco2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2VPgkzE0-Uc/VQFjeFrxFTI/AAAAAAABdFE/2VADwxA73uc/s1600/Gapco3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Chai Bora yapiga tafu Kombe la Muungano Mufindi 2014
KAMPUNI ya Chai Bora na Benki ya Wananchi wa Mufindi (Mucoba), zimejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi 2004 yaliyoanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki. Kwa mujibu wa Mratibu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0nydazgwiiEqDGPmZAgiDDLzIKh9FGFcU0NdgMuL0R3oexnY-egtfFonylnpvk6AkVoSypmcuXsf4tFti74TSKs/ANDYCOLEINTZ2.jpg?width=650)
AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa (kushoto) akimuongoza mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole kwenda kuwafunda vijana wa timu ya Taifa chini ya miaka 17. Shughuli hiyo ilifanyika jana Dar es Salaam katika viwanja vya Karume mara baada ya mchezaji huyo kuzuru/kutembelea ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bwana Sunil Colaso.… ...
10 years ago
MichuziMSAMA AWAPIGA TAFU YATIMA DAR
10 years ago
Vijimambo24 Jun
BONDIA WA KIKE MWANNE HAJI AWATAKA MABONDIA WA DAR
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/taXqG1f-VTQXuAFI7aEh7eXfvg0CCQnx_vUndhyiQIiNvXrKkQo2gB-oIaf3ae3DsVkl5GMKBpHPWKDBKTUwAiWeErl01Sbjj54yDcivUu73SBk1aYnV6dx88dtsxu3v9S98YMJ1HMq_YzCrDonQaQH_tmPC7Ezjklil5zIQgm5MUacKKDyteFmGf48GNtZzbzDwi8yD5Uq_Ork99CRSDY4YnXNq9-r8njJeMkGDsV2nECqi=s0-d-e1-ft#https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10733985_898489510197193_4215524277264489871_n.jpg?oh=90b9259cc37f10bcfd62f650bd6dc2e1&oe=55EC608E)
Na Mwandishi Wetu
BONDIA wa kike Mwanne Haji ambaye amejitokez kupambana na mabondia kwa kike wa Dar es salaam baada ya kuwasumbuwa sana mabondia wenzake wanaotoka Chunya Mkoa wa Mbeya na sasa kujikita katija jiji lakitokea katika GYM ya Zugo iliyopo Gongolamboto
bondia uyo wa kike ambaye amesha panda uringoni kupambana na baadhi ya mabondiwa wa mkoani amesema amekuja kwa ajili ya mchezo wa msumbwi jijini hivyo mabondia wa kike wakae pembeni kwani sasa ata wasambalatisha mmoja baada ya...
10 years ago
Michuzi07 Sep
MASHINDANO ya ngumi kupata mabondia 10 bora mkoa wa Dar es salaam yashika kasi
Bondia Hamad Mbonde wa Magereza kushoto akipiga ngumi bila matumaini yoyoyo na mwenzake Said Kassimu wa Amana akimpiga konde la kulia wakati wa mashindano ya kumi...
11 years ago
GPLMABONDIA WAPIMA UZITO KWA AJILI YA MPAMBANO WA LEO PTA SABASABA, DAR ES SALAAM
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand kulia akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya mpambano wao wa jumamosi ya leo April 19 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand kulia akitunishiana misuli kwa mkono na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito leo kwa ajili ya… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania