BONDIA WA KIKE MWANNE HAJI AWATAKA MABONDIA WA DAR
Na Mwandishi Wetu
BONDIA wa kike Mwanne Haji ambaye amejitokez kupambana na mabondia kwa kike wa Dar es salaam baada ya kuwasumbuwa sana mabondia wenzake wanaotoka Chunya Mkoa wa Mbeya na sasa kujikita katija jiji lakitokea katika GYM ya Zugo iliyopo Gongolamboto
bondia uyo wa kike ambaye amesha panda uringoni kupambana na baadhi ya mabondiwa wa mkoani amesema amekuja kwa ajili ya mchezo wa msumbwi jijini hivyo mabondia wa kike wakae pembeni kwani sasa ata wasambalatisha mmoja baada ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBONDIA WA KIKE LULU KAYAGE ALIVYO MSAMBALATISHA MWANNE HAJI
10 years ago
Vijimambo10 Jul
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDImtVC0b1mwUTdtemM9WYsa6jjVlmhO4vQdMD9eFauS91ejbOGQggxVx0Th6pQTh6jpNXHQyEquirID6GE*S0Np/BintouSchmillakaTheVoicenewIBFeuropeChampioness.jpg?width=650)
BONDIA WA KIKE MWAFRIKA ACHUKUA UBINGWA WA NGUMI ULAYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dMCGdX2U9x8/VCiDo66DbII/AAAAAAAGmW0/r6q472GwWlc/s72-c/Bintou%2BSchmill%2Baka%2BThe%2BVoice%2Bnew%2BIBF%2Beurope%2BChampioness.jpg)
BONDIA WA KIKE MWAFRIKA ACHUKUA UBINGWA WA NGUMI ULAYA
Bintou Schmill (30) aka The Voice...
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Bondia wa Kike mwafrika Bintou Schmill Bingwa mpya wa ngumi Ulaya
Frankfurt,Germany,Bondia maarufu wa kike mwafrika barani ulaya Bintou Yawa Schmill,mkazi wa Ujerumani siku ya ijumaa 26.September 2014 alifanikiwa kuchukua taji la ubingwa wa ngumi za kulipwa unatambuliwa na IBF,Bondia Bintou alimpiga na kumshinda mpinzani wake bondia Mirjana Vujic kwa K.O katika raundi ya 3,. Pambano hilo lilionyeshwa Live katika TV channel ya euro sport na ktazamwa na maelfu ya watu wakishuhudia bondia wa kike mwafrika akirusha ngumi kali kuliko radu.Bintou Schmill (30)...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cvRBHCBlazKWefwWuasj-avtjeyaf3iZBD85JNfy*O1UCYviUpdQgtB14I7pjomd5hRYkdjXriruL9gDyerMOcE/FemaleBoxerBintouYawaSchmill.jpg?width=650)
BONDIA MAARUFU WA KIKE BINTOU YAWA SCHMILL ULINGONI 26.9.2014 FRANFURT, UJERUMANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E_LAo0He4p0/VAlGtKOqrqI/AAAAAAAGebY/i4pCKd5I_AY/s72-c/unnamed.jpg)
BONDIA MAARUFU WA KIKE BINTOU YAWA SCHMILL ULINGONI 26.9.2014 FRANFURT,UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-E_LAo0He4p0/VAlGtKOqrqI/AAAAAAAGebY/i4pCKd5I_AY/s1600/unnamed.jpg)
Bondia Bintou Yawa Schmill aka "The Voice" mzaliwa wa Togo ambaye anapigia uzito wa Welterweight -64 Kg, urefu mita 1.71 historia yake hapo mwanzo alikuwa bondia wa ngumi za ridhaa kwa muda miaka mitano,kuanzia mwaka 2007 alianza kuingia katika...
10 years ago
Michuzi29 May
MWANAHARAKATI BI RITHI HAJI ALI AWATAKA WANAWAKE WENZAKE KUGOMBANIA NAFASI MBALIMBALI ZA UONGOZI
Hayo ameyasema huko Mwanakwerekwe wakati akizungumza na Waandishi wa habari katika suala zima la wanawake kuacha woga na kujitokeza kwa wingi kugombania ili waweze kujisemea wenyewe na kupata haki zao za kimsingi.
Hata hivyo amesema wakati umefika...
10 years ago
VijimamboBONDIA OMARI KIMWERI ATUA NCHINI NA MWANASOKA WA KIKE WA NCHINI HISPANIA