Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONDIA WA KIKE MWAFRIKA ACHUKUA UBINGWA WA NGUMI ULAYA

Bintou Schmill a.k.a 'The Voice' baada ya kumchapa Mirjana Vujic kwa K.O. Bintou akizichapa na…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BONDIA WA KIKE MWAFRIKA ACHUKUA UBINGWA WA NGUMI ULAYA

Bondia maarufu wa kike mwafrika barani ulaya Bintou Yawa Schmill,mkazi wa Ujerumani siku ya ijumaa 26.September 2014 alifanikiwa kuchukua taji la ubingwa wa ngumi za kulipwa unaotambuliwa na IBF,Bondia Bintou alimpiga na kumshinda mpinzani wake bondia Mirjana Vujic kwa K.O katika raundi ya 3,. Pambano hilo lilionyeshwa Live katika TV channel ya euro sport na kutazamwa na maelfu ya watu wakishuhudia bondia wa kike mwafrika akirusha ngumi kali kuliko radi.
Bintou Schmill (30) aka The Voice...

 

10 years ago

Vijimambo

Bondia wa Kike mwafrika Bintou Schmill Bingwa mpya wa ngumi Ulaya


Frankfurt,Germany,Bondia maarufu wa kike mwafrika barani ulaya Bintou Yawa Schmill,mkazi wa Ujerumani siku ya ijumaa 26.September 2014 alifanikiwa kuchukua taji la ubingwa wa ngumi za kulipwa unatambuliwa na IBF,Bondia Bintou alimpiga na kumshinda mpinzani wake bondia Mirjana Vujic   kwa K.O katika raundi ya 3,. Pambano hilo lilionyeshwa Live katika TV channel ya euro sport na ktazamwa na maelfu ya watu wakishuhudia bondia wa kike mwafrika akirusha ngumi kali kuliko radu.Bintou Schmill (30)...

 

9 years ago

Bongo5

Majibu ya bondia Manny Pacquiao kuhusu kustaafu ngumi

(FILES) In this September 3, 2014 file photo, Filipino boxing star Manny Pacquiao gestures on arrival for a press conference with fellow boxer Chris Algieri in Los Angeles, California. Pacquiao called his boxing showdown with Floyd Mayweather "the fight of my life" as he got down to work pounding the streets and gym in Los Angeles. The eight-division world champion cranked into serious preparations for the May 2 fight after flying in for his training camp from his native Philippines. On March 2, 2015, Pacquiao ran two miles (3.2 km) and shadow-boxed for two rounds, followed by abdominal work and breakfast of steamed rice, scrambled egg, fish and chicken broth. AFP PHOTO / FREDERIC J. BROWN / FILESFREDERIC J. BROWN/AFP/Getty Images

Mcheza ngumi raia wa Ufilipino ambaye amejizolea umaarufu duniani Manny Pacquiao amesema kwasasa anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley.

(FILES) In this September 3, 2014 file photo, Filipino boxing star Manny Pacquiao gestures on arrival for a press conference with fellow boxer Chris Algieri in Los Angeles, California. Pacquiao called his boxing showdown with Floyd Mayweather "the fight of my life" as he got down to work pounding the streets and gym in Los Angeles. The eight-division world champion cranked into serious preparations for the May 2 fight after flying in for his training camp from his native Philippines. On March 2, 2015, Pacquiao ran two miles (3.2 km) and shadow-boxed for two rounds, followed by abdominal work and breakfast of steamed rice, scrambled egg, fish and chicken broth. AFP PHOTO / FREDERIC J. BROWN / FILESFREDERIC J. BROWN/AFP/Getty Images

Bondia huyo tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa nia yake ni kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi kubwa ya kuiongoza nchi hiyo.

Pacquiao atapanda ulingoni kupambana na bondia huyo kutoka America kwa mara ya tatu April 9, 2016 hii...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA WA MOROGORO AOMBA PAMBANO LA NGUMI KWA MAPROMOTA

Na Mwandishi Wetu 


PIUS KAZAULABONDIA Pius Kazaula wa Morogoro KG 66 amejitokeza hadharani na kuwaomba wadau wa mchezo wa masumbwi pamoja na mapromota kumwandalia mpambano kwa ajili ya kupima kiwango chake kwa kuwa mapromota wengi wapo Dar es salaam wao wa mikoani wanasahaulika

akizungumza na mwandishi wa habari kwa njia ya simu amesema mabondia wa uzito wake wapo wengi ingawa kila siku wanapangiwa wao kwa wao mana unaweza kukuta bondia mmoja kacheza na mtu mmoja mara nne wakati mabondia...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

MillardAyo

Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake…

Staa wa ngumi duniani raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley. Bondia huyo ambaye tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa ana ndoto za kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi […]

The post Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Murray achukua ubingwa wa Davis Cup

76_muz_1539494aLONDON, ENGLAND

NYOTA wa mchezo wa tenisi nchini Uingereza, Andy Murray, amefanikiwa kulipa taifa lake ubingwa wa michuano ya Davis Cup katika mchezaji mmoja mmoja.

Timu ya Uingereza imetwaa taji hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1936, huku Murray akifanikiwa kumshinda mpinzani wake raia wa Ubelgiji, David Goffin.

Murray alimshinda mapinzani huyo kwa jumla ya seti 6-3, 7-5, 6-3 na kumfanya Goffin kupoteza kwa jumla ya seti 3-1.

Murray amejiongezea historia kubwa baada ya kutwaa mataji ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BONDIA WA KIKE MWANNE HAJI AWATAKA MABONDIA WA DAR



Na Mwandishi Wetu
BONDIA wa kike Mwanne Haji ambaye amejitokez kupambana na mabondia kwa kike wa Dar es salaam baada ya kuwasumbuwa sana mabondia wenzake wanaotoka Chunya Mkoa wa Mbeya na sasa kujikita katija jiji lakitokea katika GYM ya Zugo iliyopo Gongolamboto

bondia uyo wa kike ambaye amesha panda uringoni kupambana na baadhi ya mabondiwa wa mkoani amesema amekuja kwa ajili ya mchezo wa msumbwi jijini hivyo mabondia wa kike wakae pembeni kwani sasa ata wasambalatisha mmoja baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Bondia Mohamed Matumla Ashinda Pambano la Ngumi Dhidi ya Mchina Wang Xin Hua Jana


Bondia Mohamed Matumla amemchapa mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua kwa pointi. Matumla ameshinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF la raundi 12 uzani wa Bantam lililopigwa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam na sasa baada ya kushinda atapata nafasi ya kupanda ulingoni Jijini Las Vegas kwenye pamambano la Mayweather na Pacquiao na bondia atakae pangiwa katika mapamabo ya utangulizi siku hiyo ya May 2.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani