Bondia wa Kike mwafrika Bintou Schmill Bingwa mpya wa ngumi Ulaya
Frankfurt,Germany,Bondia maarufu wa kike mwafrika barani ulaya Bintou Yawa Schmill,mkazi wa Ujerumani siku ya ijumaa 26.September 2014 alifanikiwa kuchukua taji la ubingwa wa ngumi za kulipwa unatambuliwa na IBF,Bondia Bintou alimpiga na kumshinda mpinzani wake bondia Mirjana Vujic kwa K.O katika raundi ya 3,. Pambano hilo lilionyeshwa Live katika TV channel ya euro sport na ktazamwa na maelfu ya watu wakishuhudia bondia wa kike mwafrika akirusha ngumi kali kuliko radu.Bintou Schmill (30)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDImtVC0b1mwUTdtemM9WYsa6jjVlmhO4vQdMD9eFauS91ejbOGQggxVx0Th6pQTh6jpNXHQyEquirID6GE*S0Np/BintouSchmillakaTheVoicenewIBFeuropeChampioness.jpg?width=650)
BONDIA WA KIKE MWAFRIKA ACHUKUA UBINGWA WA NGUMI ULAYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dMCGdX2U9x8/VCiDo66DbII/AAAAAAAGmW0/r6q472GwWlc/s72-c/Bintou%2BSchmill%2Baka%2BThe%2BVoice%2Bnew%2BIBF%2Beurope%2BChampioness.jpg)
BONDIA WA KIKE MWAFRIKA ACHUKUA UBINGWA WA NGUMI ULAYA
Bintou Schmill (30) aka The Voice...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E_LAo0He4p0/VAlGtKOqrqI/AAAAAAAGebY/i4pCKd5I_AY/s72-c/unnamed.jpg)
BONDIA MAARUFU WA KIKE BINTOU YAWA SCHMILL ULINGONI 26.9.2014 FRANFURT,UJERUMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-E_LAo0He4p0/VAlGtKOqrqI/AAAAAAAGebY/i4pCKd5I_AY/s1600/unnamed.jpg)
Bondia Bintou Yawa Schmill aka "The Voice" mzaliwa wa Togo ambaye anapigia uzito wa Welterweight -64 Kg, urefu mita 1.71 historia yake hapo mwanzo alikuwa bondia wa ngumi za ridhaa kwa muda miaka mitano,kuanzia mwaka 2007 alianza kuingia katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cvRBHCBlazKWefwWuasj-avtjeyaf3iZBD85JNfy*O1UCYviUpdQgtB14I7pjomd5hRYkdjXriruL9gDyerMOcE/FemaleBoxerBintouYawaSchmill.jpg?width=650)
BONDIA MAARUFU WA KIKE BINTOU YAWA SCHMILL ULINGONI 26.9.2014 FRANFURT, UJERUMANI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0pshskudFcM/U_t-L8fAssI/AAAAAAAGCVs/mJHyBwJg9nM/s72-c/Female%2BBoxer%2B%2BBintou%2BSchmill.jpg)
Meet the African base in Germany Female Boxer Bintou Yawa Schmill a.k.a " The Voice"
![](http://3.bp.blogspot.com/-0pshskudFcM/U_t-L8fAssI/AAAAAAAGCVs/mJHyBwJg9nM/s1600/Female%2BBoxer%2B%2BBintou%2BSchmill.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h-RC56-bgF0/U_t-LdXOoHI/AAAAAAAGCVo/n6ERX7QmKc8/s1600/Female-Boxer-Bintou-Yawa-Schmill.jpg)
9 years ago
MichuziBONDIA MESHACK MWANKEMWA BINGWA MPYA WA KG 66 TPBC
9 years ago
Bongo506 Jan
Majibu ya bondia Manny Pacquiao kuhusu kustaafu ngumi
![(FILES) In this September 3, 2014 file photo, Filipino boxing star Manny Pacquiao gestures on arrival for a press conference with fellow boxer Chris Algieri in Los Angeles, California. Pacquiao called his boxing showdown with Floyd Mayweather "the fight of my life" as he got down to work pounding the streets and gym in Los Angeles. The eight-division world champion cranked into serious preparations for the May 2 fight after flying in for his training camp from his native Philippines. On March 2, 2015, Pacquiao ran two miles (3.2 km) and shadow-boxed for two rounds, followed by abdominal work and breakfast of steamed rice, scrambled egg, fish and chicken broth. AFP PHOTO / FREDERIC J. BROWN / FILESFREDERIC J. BROWN/AFP/Getty Images](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/pacquiaotax_3249079b-300x194.jpg)
Mcheza ngumi raia wa Ufilipino ambaye amejizolea umaarufu duniani Manny Pacquiao amesema kwasasa anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley.
Bondia huyo tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa nia yake ni kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi kubwa ya kuiongoza nchi hiyo.
Pacquiao atapanda ulingoni kupambana na bondia huyo kutoka America kwa mara ya tatu April 9, 2016 hii...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ho-oZFTRDeY/VYUbsCdRzKI/AAAAAAAAHJ8/0eC2V3fx76Y/s72-c/11257922_897559980290146_6360377634304609_n.jpg)
BONDIA WA MOROGORO AOMBA PAMBANO LA NGUMI KWA MAPROMOTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ho-oZFTRDeY/VYUbsCdRzKI/AAAAAAAAHJ8/0eC2V3fx76Y/s320/11257922_897559980290146_6360377634304609_n.jpg)
akizungumza na mwandishi wa habari kwa njia ya simu amesema mabondia wa uzito wake wapo wengi ingawa kila siku wanapangiwa wao kwa wao mana unaweza kukuta bondia mmoja kacheza na mtu mmoja mara nne wakati mabondia...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake…
Staa wa ngumi duniani raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley. Bondia huyo ambaye tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa ana ndoto za kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi […]
The post Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.