KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s72-c/New%2BPicture.png)
Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano ya mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SvKI_8oz9dY/VK7_6kEykrI/AAAAAAAG8Hw/RBaqxu0QCFk/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
klabu za michezo za maveterani Dar es salaam kurehemu marehemu Jumatatu (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
Ratiba itaanza Saa 7 mchana katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam. Dua zitafanyika kutoka kwa Father Oscar na Sheikh Kipoozeo. Dua hizo zitafuatiwa na Chakula cha pamoja cha mchana...
11 years ago
GPLMASHINDANO YA RIADHA YA TAIFA YAFANYIKA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hZC-IKAOeig/VLO66B1c-dI/AAAAAAAG82s/TI1eEykzItY/s72-c/2.jpg)
klabu za michezo za maveterani zarehemu marehemu leo (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-hZC-IKAOeig/VLO66B1c-dI/AAAAAAAG82s/TI1eEykzItY/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BpGrqYQGCts/VLO7AEe27lI/AAAAAAAG83g/ojBLRBZlcr4/s1600/9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EnWsWR3qId8/VLO61Rgea7I/AAAAAAAG82I/4TU3F4FStK4/s1600/10.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Kenya kuandaa Mashindano ya riadha 2017?
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Doha kuandaa mashindano ya riadha 2019
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BPItlj7qNxI/VJ2IdaM34iI/AAAAAAAG57c/KSj1C4BYq_8/s72-c/IMG_7765.jpg)
DK. SHEIN AFUNGUA MASHINDANO YA RIADHA ZANZIBAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BPItlj7qNxI/VJ2IdaM34iI/AAAAAAAG57c/KSj1C4BYq_8/s1600/IMG_7765.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JRBSVl_jWDU/VJ2Ig9lAxLI/AAAAAAAG570/GiXU1sLm1Kk/s1600/IMG_7790.jpg)
9 years ago
Michuzi22 Sep
MBIO ZA RIADHA ZA MOUNT MERU MARATHON KUTIMUA VUMBI OCTOBA 4 ARUSHA
![](http://www.pulsarnet.com/mtmeru/banner.jpg)
Katibu wa chama cha riadha mkoani hapa Alfredo Shahanga alisema kwuwa mbio hizo ni za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s72-c/IMG_8354.jpg)
DK. SHEIN AFUNGA MASHINDANO YA RIADHA UWANJA WA AMAAN,ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-JxpAR6VSzCE/VJ8XodibmII/AAAAAAAG6E0/I_fPEwTobe0/s1600/IMG_8354.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2S3JWfGfVqE/VJ8XpGBNh5I/AAAAAAAG6FA/hc14ylXfDYU/s1600/IMG_8359.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s72-c/unnamed+(19).jpg)
RIADHA TABORA WAJIFUA KWA AJILI YA MASHINDANO YA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s1600/unnamed+(19).jpg)
Na Allan Ntana,Tabora
TIMU ya Riadha ya mkoa wa Tabora ipo katika mazoezi makali kujiandaa na mashindano ya Riadha Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki hii jijini Dar e s salaam.
Katibu wa chama hicho Mkoa wa Tabora Salum Tarraddady, alisema jumla ya...