Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kura kuhesabiwa upya leo nchini Malawiu

Nchini Malawi kura za uchaguzi mkuu zinatarajwa kuhesabiwa upya hii leo katika maeneo ambapo kura zinazidi waliosajiliwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Afghanistan:Kura kuhesabiwa upya

Maafisa wa uchaguzi nchini Afghanistan wajiandaa kuhesabu kura zote millioni nane zilizopigwa katika uchaguzi wa urais.

 

11 years ago

Habarileo

Kura kuhesabiwa upya Malawi

VUTA nikuvute ya Uchaguzi Mkuu nchini Malawi, inaendelea, ambapo sasa kura zitahesabiwa upya katika maeneo kadhaa, ambako imedhihirika idadi ya wapiga kura, haiwiani na idadi ya waliojiandikisha. Aidha, baadhi ya wanasiasa na wanasheria, wamepeleka malalamiko yao mahakamani, hivyo kuzidi kuchelewesha matokeo ya uchaguzi huo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kura zinaendelea kuhesabiwa Malawi

Hasira miongoni mwa wananchi na ghasia zilizozuka zilisababisha kutofanyika uchaguzi katika baadhi ya vituo vya kura nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kura zaanza kuhesabiwa Burundi

Shughuli ya kuhesabu Kura imeanza nchini Burundi kufuatia uchaguzi wa urais ambao umeshutumiwa na wengi nchini humo na hata kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kura zaanza kuhesabiwa Liberia

Kura zimeanza kuhesabiwa nchini Liberia ambapo uchaguzi wa Useneta umefanyika licha ya mlipuko wa ebola.

 

9 years ago

Habarileo

Kura Kahama kuhesabiwa kwa DC

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Underson Msumba amesema atalamizika kuhamishia shughuli za kuhesabu kura za urais, ubunge na udiwani kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kutokana na ofisi yake kuwa jirani na ofisi za vyama mbalimbali vya siasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapiga kura kuandikishwa upya

KILIO cha muda mrefu cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutaka Daftari la Kudumu la Wapiga Kura liboreshwe kimepata jibu baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuamua...

 

11 years ago

Habarileo

Vitambulisho vya kura kutolewa upya

VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yatakiwa kujipanga upya kudhibiti kura

UONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga, umeshauri chama hicho kuwa na mikakati na mbinu mpya katika kudhibiti udanganyifu na wizi wa kura unaofanywa na  Chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani