Kura zaanza kuhesabiwa Burundi
Shughuli ya kuhesabu Kura imeanza nchini Burundi kufuatia uchaguzi wa urais ambao umeshutumiwa na wengi nchini humo na hata kimataifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Kura zaanza kuhesabiwa Liberia
11 years ago
BBCSwahili21 May
Kura zinaendelea kuhesabiwa Malawi
9 years ago
Habarileo17 Oct
Kura Kahama kuhesabiwa kwa DC
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Underson Msumba amesema atalamizika kuhamishia shughuli za kuhesabu kura za urais, ubunge na udiwani kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kutokana na ofisi yake kuwa jirani na ofisi za vyama mbalimbali vya siasa.
11 years ago
Habarileo27 May
Kura kuhesabiwa upya Malawi
VUTA nikuvute ya Uchaguzi Mkuu nchini Malawi, inaendelea, ambapo sasa kura zitahesabiwa upya katika maeneo kadhaa, ambako imedhihirika idadi ya wapiga kura, haiwiani na idadi ya waliojiandikisha. Aidha, baadhi ya wanasiasa na wanasheria, wamepeleka malalamiko yao mahakamani, hivyo kuzidi kuchelewesha matokeo ya uchaguzi huo.
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Afghanistan:Kura kuhesabiwa upya
11 years ago
BBCSwahili26 May
Kura kuhesabiwa upya leo nchini Malawiu
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
MOJA KWA MOJA:KUHESABIWA KWA KURA TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2-lLmJ39cgM/VnxAswuMiBI/AAAAAAAIOW0/vvpY9bteoeg/s72-c/60e6d5b84d8345f74b6c5b2ad39ae6b7.jpg)
TASWIRA YA WADAU WAKIELEKEA "KUHESABIWA" makwao
![](http://2.bp.blogspot.com/-2-lLmJ39cgM/VnxAswuMiBI/AAAAAAAIOW0/vvpY9bteoeg/s1600/60e6d5b84d8345f74b6c5b2ad39ae6b7.jpg)
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Wabunge 150 wasimama kuhesabiwa kwa Lowassa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WABUNGE 150 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemwomba Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, muda ukifika achukue fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kauli hiyo waliitoa juzi mjini hapa katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika Kilimani nyumbani kwa kigogo mmoja wa CCM ambaye aliwaalika wabunge wa chama hicho akiwemo Lowassa.
Wakizungumza katika ghafla hiyo wabunge...