Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA YA WADAU WAKIELEKEA "KUHESABIWA" makwao

Hapa ni Kwa Msisi mkoani Tanga ambapo mdau katutumia taswira hii ya wadau wakielekea "KUHESABIWA" vijijini kwao sehemu mbalimbali Kaskazini mwa Tanzania, ikiwa ni utamaduni wa miaka nenda miaka rudi ya kusherehekea Krismas na Mwaka Mpya. Globu ya Jamii inawapongeza wadau hawa wote kwa kukumbuka kurudi nyumbani katika msimu huu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TASWIRA YA MWAKA YA WADAU WA KUCHEKESHA NA KUHABARISHA

Si mara nyingi wadau hawa hukutana namna hii. Ila wakati wa mnuso wa kumuaga bosi wa taasisi ya Twaweza Rakesh Rajani jana jioni pale viwanja vya Karimjee ilikuwa tofauti. hapo mpiga picha aliambiwa apige full yaani viatu vionekane. Wao kwa pamoja tena bila kuambiwa na mtu wakainua miguu kumuonesha hivyo viatu. Kutoka kushoto ni Othman Michuzi, Masoud Kipanya, Nathan Mpangala "Kijasti", Evans Bukuku "Mnyambala", David Kyungu, Robert Mwampembwa "Bi Mkora", David Chikoko (Cartoonist wa the...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 22 wafa maji wakielekea Ugiriki

Wahamiaji 22, wengi wao watoto, wamekufa maji wakijaribu kufika visiwa vya Kalymnos na Rhodes nchini Ugiriki wakitokea Uturuki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 17 wafa maji wakielekea Uturuki

Wahamiaji 17 wamekufa maji baharini muda mfupi baada yao kutoka Uturuki wakielekea Ugiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 400 wafa maji wakielekea Italia

Kundi la wahamiaji manusura waliokolewa kutoka kwa bahari ya Mediterenia limewasili Italia

 

11 years ago

BBCSwahili

Australia yawarudisha wakimbizi makwao

Australia imedinda kutoa tamko kuhusu ripoti kwamba imezuia maboti mawili yaliokuwa yakiwabeba wakimbizi wa Tamil

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia zaidi wakimbia makwao Sudan Kusini

Mashirika ya kutoa misaada yamesema maelfu ya watu wamehama makwao kufuatia mapigano nchini Sudan Kusini

 

11 years ago

Habarileo

IOM kurejesha makwao wahamiaji haramu 115

SHIRIKA la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema linatarajia kurudisha wahamiaji haramu 115 walioingia nchini kutokea Ethiopia mwishoni mwa wiki ijayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afghanistan:Kura kuhesabiwa upya

Maafisa wa uchaguzi nchini Afghanistan wajiandaa kuhesabu kura zote millioni nane zilizopigwa katika uchaguzi wa urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani