Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia zaidi wakimbia makwao Sudan Kusini

Mashirika ya kutoa misaada yamesema maelfu ya watu wamehama makwao kufuatia mapigano nchini Sudan Kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wakimbia vita Sudan Kusini

Takriban Watu 1,000 wameuawa katika mapigano nchini humo na takriban wengine 200,000 wakikimbia mapigano kati ya Jamii ya Dinka na Nuer.

 

11 years ago

BBCSwahili

UN: Hatutawaacha raia Sudan Kusini

Kikosi cha Umoja wa Mataifa kilichopo Sudan Kusini kimesema hawatawaacha raia baada ya wiki ya mapigano ya kikabila.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uingereza auawa Sudan Kusini

Muingereza mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Juba nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini

UNICEF linasema kuwa wavulana na wasichana wenye umri wa hadi miaka 7 wameuawa ,kutekwa na kubakwa katika ghasia za hivi majuzi nchini Sudan Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Chad wakimbia Afrika ya Kati

aelfu ya raia wa Chad wanakimbia machafuko nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati na wamekuwa wakiondoka nchini humo siku ya Jumamosi

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Miili ya raia wa A Kusini yarejeshwa

Miili ya raia wa Afrika Kusini waliokufa Nigeria miezi miwili iliyopita, yarejeshwa nyumbani

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG

Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani