UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini
UNICEF linasema kuwa wavulana na wasichana wenye umri wa hadi miaka 7 wameuawa ,kutekwa na kubakwa katika ghasia za hivi majuzi nchini Sudan Kusini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
UNICEF;Watoto waathirika zaidi C.A.R
Umoja wa mataifa wasema kuwa ghasia zinazoendelea nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati zinawaathiri watoto pakubwa.
11 years ago
GPL
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
11 years ago
BBCSwahili20 Apr
Watu kadhaa wauawa nchini Sudan kusini
Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini.
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 5 zaidi wauawa Afrika Kusini
Watu watano zaidi wameuawa katika mashambulizi ya kibaguzi katika mji wa Durban nchini Africa Kusini.
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Watoto wengi watekwa Sudan Kusini
Vijana wadogo wadogo wanyakuliwa kambini Sudan Kusini na watu waliokuwa na silaha
11 years ago
BBCSwahili29 Oct
Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini
Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mamia ya watoto watekwa Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umesema watoto waliotekwa hivi karibuni Sudan Kusini walichukuliwa na kundi lililo upande wa serikali.
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini
Mashirika ya misaada yasema maelfu ya watoto Sudan Kusini wanahofiwa kupotezana na wazazi wao
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Watoto wanashiriki mzozo wa Sudan Kusini
Shirika linalopigania haki ya binadamu, Human Rights Watch limesema kuwa watoto wanatumika katika mapigano ya Sudan Kusini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania