Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini

Mashirika ya misaada yasema maelfu ya watoto Sudan Kusini wanahofiwa kupotezana na wazazi wao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watoto 600 wapotezana na wazazi wao

>Zaidi ya watoto 600 wakimbizi kutoka Burundi wamepotezana na wazazi wao katika harakati za kukimbia nchi yao au kuhamishwa kutoka kambi moja kwenda nyingine mkoani Kigoma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini

Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wengi watekwa Sudan Kusini

Vijana wadogo wadogo wanyakuliwa kambini Sudan Kusini na watu waliokuwa na silaha

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini

Waasi nchini Sudan Kusini wamewaachilia huru wanajeshi watoto wapatao 250 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya watoto watekwa Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umesema watoto waliotekwa hivi karibuni Sudan Kusini walichukuliwa na kundi lililo upande wa serikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wanashiriki mzozo wa Sudan Kusini

Shirika linalopigania haki ya binadamu, Human Rights Watch limesema kuwa watoto wanatumika katika mapigano ya Sudan Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini

UNICEF linasema kuwa wavulana na wasichana wenye umri wa hadi miaka 7 wameuawa ,kutekwa na kubakwa katika ghasia za hivi majuzi nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi Sudan Kusini wawaachia huru watoto

Waasi nchini Sudani kusini wamewaachia huru kundi la kwanza la watoto waliokuwa wamechukuliwa kuwa wanajeshi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao

Mama-Salma-Kikwete

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

 Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza  na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.

Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani