Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wengi watekwa Sudan Kusini

Vijana wadogo wadogo wanyakuliwa kambini Sudan Kusini na watu waliokuwa na silaha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mamia ya watoto watekwa Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umesema watoto waliotekwa hivi karibuni Sudan Kusini walichukuliwa na kundi lililo upande wa serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini

Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini

Mashirika ya misaada yasema maelfu ya watoto Sudan Kusini wanahofiwa kupotezana na wazazi wao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini

Waasi nchini Sudan Kusini wamewaachilia huru wanajeshi watoto wapatao 250 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wanashiriki mzozo wa Sudan Kusini

Shirika linalopigania haki ya binadamu, Human Rights Watch limesema kuwa watoto wanatumika katika mapigano ya Sudan Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi Sudan Kusini wawaachia huru watoto

Waasi nchini Sudani kusini wamewaachia huru kundi la kwanza la watoto waliokuwa wamechukuliwa kuwa wanajeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

UNICEF:Watoto zaidi wauawa Sudan Kusini

UNICEF linasema kuwa wavulana na wasichana wenye umri wa hadi miaka 7 wameuawa ,kutekwa na kubakwa katika ghasia za hivi majuzi nchini Sudan Kusini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto watekwa Gaza

Wapiganaji wa kundi la Hamas wamezuia kundi la watoto huko Gaza wengi wao wakiwa hawana wazazi.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani