Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini
Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Watoto wasajiliwa kuwa wanajeshi Sudan K
Kiasi cha watoto wapatao 11,000 wamesajiliwa kupigana katika makundi yaliojihami nchini Sudan kusini
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini
Waasi nchini Sudan Kusini wamewaachilia huru wanajeshi watoto wapatao 250 .
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini
Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Watoto wengi watekwa Sudan Kusini
Vijana wadogo wadogo wanyakuliwa kambini Sudan Kusini na watu waliokuwa na silaha
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Watoto wanashiriki mzozo wa Sudan Kusini
Shirika linalopigania haki ya binadamu, Human Rights Watch limesema kuwa watoto wanatumika katika mapigano ya Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mamia ya watoto watekwa Sudan Kusini
Umoja wa Mataifa umesema watoto waliotekwa hivi karibuni Sudan Kusini walichukuliwa na kundi lililo upande wa serikali.
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Watoto wapotezana na wazazi Sudan Kusini
Mashirika ya misaada yasema maelfu ya watoto Sudan Kusini wanahofiwa kupotezana na wazazi wao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania