Watoto wasajiliwa kuwa wanajeshi Sudan K
Kiasi cha watoto wapatao 11,000 wamesajiliwa kupigana katika makundi yaliojihami nchini Sudan kusini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini
Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Wanajeshi watoto waachiliwa Sudan Kusini
Waasi nchini Sudan Kusini wamewaachilia huru wanajeshi watoto wapatao 250 .
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Askari watoto wasajiliwa Islamic State
Askari watoto wamebainika kusajiliwa na wapiganaji wa Islamic State na kutumika katika uwanja wa mapigano.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Yanga kwa Wanajeshi, Azam Sudan
Mabingwa wa Tanzania, Azam wataanza harakati zake za Ligi ya Mabingwa Afrika, kwa kuivaa El Merreikh ya Sudan, wakati Yanga wenyewe watakuwa na kibarua kwa BDF ya Botswana katika Kombe la Shirikisho.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini
Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLacpl-afdZLkG6erEOKLhtyNvinrIkTM8iHhS*ryiFJlCNOc6pgsnMH0XvDdYqV6YwPPd3N9JmrXDp*twHLr0Ya1/140924113651_france_military_man_624x351_afp.jpg)
WANAJESHI WA UFARANSA WATUHUMIWA KUWANAJISI WATOTO
Mmoja wa wanajeshi wa Ufaransa. Serikali ya Ufaransa imetangaza kuanzisha uchunguzi kufwatia tuhuma zinazowakabili wanajeshi wake wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya kati kutekeleza vitendo vya unyanyasaji wa kimapenzi dhidi ya watoto. Nakala ya Ripoti inayobaini vitendo hivyo imewakilishwa kwenye gazeti la The Guardian la Uingereza na shirika lisilo la kiserikali “Aids Free World†ambapo wizara ya sheria ya...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Wachezaji 30 wasajiliwa Ligi Kuu
Wakati dirisha dogo la usajili kwa timu za Ligi Kuu na zile za Ligi Daraja la Kwanza nchini likitarajiwa kufungwa jana saa 6 usiku, nyota 30 wamesajili kuchezea timu mbalimbali za Ligi Kuu hadi wakati gazeti hili linakwenda mtamboni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania