Yanga kwa Wanajeshi, Azam Sudan
Mabingwa wa Tanzania, Azam wataanza harakati zake za Ligi ya Mabingwa Afrika, kwa kuivaa El Merreikh ya Sudan, wakati Yanga wenyewe watakuwa na kibarua kwa BDF ya Botswana katika Kombe la Shirikisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Yanga, wanajeshi vitani, Azam, Mtibwa balaa
9 years ago
Habarileo23 Aug
Azam teja kwa Yanga
YANGA jana ilianza vizuri msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara wa mwaka 2015/16 baada ya kuwafunga Azam FC kwa penalti 7-6 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Yanga, Azam tayari kwa El-Merreikh
9 years ago
Habarileo01 Jan
Yanga, Azam kamili kwa Mapinduzi
YANGA na Azam FC zinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mpaka Januari 13 kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar.
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Azam yaipuuza Yanga kwa Tchetche
NA MWANDISHI WETU
MABINGWA wa Kombe la Kagame, timu ya Azam imeshtushwa na taarifa za uongozi wa Yanga kumfungia kazi mshambuliaji wake tegemeo, Kipre Tchetche, ili kumsajili kwenye dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Jumapili hii.
Uongozi wa Azam jana umesema kuwa mshambuliaji huyo bado yupo kwenye mipango ya muda mrefu ya benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Stewart Hall na ataendelea kuwepo sana ndani ya timu hiyo.
Tchetche amekuwa mwiba mkali kwa timu pinzani, mpaka sasa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnvBTzd6cweyohdg0E**ECL4Lse0CoHlyPEfRgbLm3xYz8AShQkJ9zamsGPjq6t*07pAVj5XTP8XYe5RR8R5SKJ/1.jpg?width=650)
Yanga, Azam zagongana kwa Amissi Tambwe
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini