Azam yaipuuza Yanga kwa Tchetche
NA MWANDISHI WETU
MABINGWA wa Kombe la Kagame, timu ya Azam imeshtushwa na taarifa za uongozi wa Yanga kumfungia kazi mshambuliaji wake tegemeo, Kipre Tchetche, ili kumsajili kwenye dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Jumapili hii.
Uongozi wa Azam jana umesema kuwa mshambuliaji huyo bado yupo kwenye mipango ya muda mrefu ya benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Stewart Hall na ataendelea kuwepo sana ndani ya timu hiyo.
Tchetche amekuwa mwiba mkali kwa timu pinzani, mpaka sasa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Tchetche, 3-5-2 tishio kwa Yanga
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Kipre Tchetche aanza kujifua Azam FC
MCHEZAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu uliopita, Kipre Tchetche wa Azam FC, jana asubuhi aliibuka rasmi katika mazoezi ya Wanalambalamba hao yaliyofanyika kwenye dimba la Azam Complex, huku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOls0F58d4XzWudho5PMXo8lIzwoOjoM9oFpbEsCKIeu1mEC8*kytF0EVRh0NzNh96I6471Z1ZmntHpaNDH4qKDS0/simba2.jpg?width=650)
Simba yampeleka Tambwe Azam, yamuomba Tchetche
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND3B6AmQ3SNH4pHoK2TgwxZkFe1345lJ4JgipxX94CVnzlteqS1bVS8izr0NYxDaX6Svrr8BkpCo3kOSzeR9j5L8/YANGA.jpg?width=650)
Yanga yamkomalia Kipre Tchetche
9 years ago
Habarileo23 Aug
Azam teja kwa Yanga
YANGA jana ilianza vizuri msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara wa mwaka 2015/16 baada ya kuwafunga Azam FC kwa penalti 7-6 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
9 years ago
Habarileo01 Jan
Yanga, Azam kamili kwa Mapinduzi
YANGA na Azam FC zinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mpaka Januari 13 kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Yanga kwa Wanajeshi, Azam Sudan
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Yanga, Azam tayari kwa El-Merreikh