Tchetche, 3-5-2 tishio kwa Yanga
Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema hana wasiwasi na mfumo wa 3-5-2 unaotumiwa na Azam FC tayari ameshapata mbinu ya kuwamaliza katika mchezo wa Ngao ya Jamii utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Azam yaipuuza Yanga kwa Tchetche
NA MWANDISHI WETU
MABINGWA wa Kombe la Kagame, timu ya Azam imeshtushwa na taarifa za uongozi wa Yanga kumfungia kazi mshambuliaji wake tegemeo, Kipre Tchetche, ili kumsajili kwenye dirisha dogo la usajili linalofunguliwa Jumapili hii.
Uongozi wa Azam jana umesema kuwa mshambuliaji huyo bado yupo kwenye mipango ya muda mrefu ya benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkuu Stewart Hall na ataendelea kuwepo sana ndani ya timu hiyo.
Tchetche amekuwa mwiba mkali kwa timu pinzani, mpaka sasa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND3B6AmQ3SNH4pHoK2TgwxZkFe1345lJ4JgipxX94CVnzlteqS1bVS8izr0NYxDaX6Svrr8BkpCo3kOSzeR9j5L8/YANGA.jpg?width=650)
Yanga yamkomalia Kipre Tchetche
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK
10 years ago
Habarileo14 Aug
Magonjwa ya akili tishio kwa vijana
ASILIMIA 61 ya wagonjwa wa akili katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza inasadikiwa kuwa ni vijana, hali ambayo imeelezwa inachangia ongezeko la umasikini katika jamii.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Waendesha magari tishio kwa utalii
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Tishio kwa uhuru wa kujieleza Misri
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Seli mundu tishio kwa watoto
ASILIMIA 90 ya watoto zaidi ya 8,000 wanaozaliwa na ugonjwa wa seli mundu kila mwaka nchini, hufariki dunia kabla ya kufikisha miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Habarileo19 Sep
Ebola wadaiwa tishio kwa uchumi
MKUU wa Benki ya Dunia, Jim Kim amehadharisha kuwa kuenea kwa ugonjwa wa ebola kunaweza kusababisha janga la kiuchumi katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone na ametaka hatua zichukuliwe haraka ili kuzuia kuenea zaidi ugonjwa huo.