Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magonjwa ya akili tishio kwa vijana

ASILIMIA 61 ya wagonjwa wa akili katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza inasadikiwa kuwa ni vijana, hali ambayo imeelezwa inachangia ongezeko la umasikini katika jamii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa makazi unachochea hatari ya kupata magonjwa ya akili

>Iwapo unaishi ndani ya nyumba yenye ua mzuri, kuta, paa na vitanda vizuri lakini bado unapata maradhi, je? Wanaishije wale waliokosa makazi kabisa?

 

11 years ago

Bongo5

Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza

Miaka 15 iliyopita, Umoja wa Mataifa uliitangaza August 12 kila mwaka, kuwa ‘Siku ya Vijana Duniani’ ambapo kauli mbiu ya mwaka huu inasema ‘Vijana na Afya ya Akili’. Kwa mujibu wa andiko kutoka Umoja wa Mataifa, asilimia 20 ya vijana duniani kote hupata tatizo linalohusiana na afya ya akili kila mwaka. Hatari zaidi hutokea katika […]

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mndeme: Mtaalamu wa magonjwa ya akili aliyenusurika kupigwa risasi na mgonjwa ‘aliyemtibu’

Changamoto ni sehemu ya maisha ambayo watu wengi hupitia. Hatua hiyo huweza kumjenga mtu na kumfanya aimarike zaidi maishani.

 

10 years ago

Vijimambo

MADAKTARI VIJANA WATAKIWA KUBOBEA PIA KATIKA MAGONJWA YA NGOZI

Mmoja wa waratibu wa Semina ya madaktari kuhusu magonjwa ya ngozi, Jesinta Mboneko, akimkaribisha mmoja wa washiriki hiyo, Muuguzi katika hospitali ya Mbezi Medical Clinic inayojishughulisha na magonjwa hayo, Sarah Nyabhenda, kwenye ukumbi wa semina hiyo katika hoteli ya Protea Cortyard, Upanga jijini Dar es Salaam, jana jioni.Baadhi ya washiriki wakianza kuingia kwenye semina hiyoMkuu wa Idara Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili (MUHAS), Dk. Denis Russa akiwakaribisha washiriki kwa ajili ya...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

 

9 years ago

Michuzi

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yapongezwa kwa ushikiano inaotoa kwa wadau wa Vijana

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel (kulia) akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Volountary Service Overseas (VSO) Dkt.Philip Goodwin alipo mtembelea ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuishukuru Serikali kwa ushirikiano inaowapa katika kufanikisha majukumu yao. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel (katikati) akielezea jambo wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani