Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mndeme: Mtaalamu wa magonjwa ya akili aliyenusurika kupigwa risasi na mgonjwa ‘aliyemtibu’

Changamoto ni sehemu ya maisha ambayo watu wengi hupitia. Hatua hiyo huweza kumjenga mtu na kumfanya aimarike zaidi maishani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Amina ni Mtoto mchanga aliyenusurika baada ya kupigwa risasi mbili

Amina alikua ni mmoja wa manusura wenye umri mdogo zaidi katika wodi ya kujifungulia nchini Afghanstan.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi aliyenusurika Sitakishari asimulia alivyoua jambazi akiwa majeruhi wa risasi

>Ni ukweli usiopingika kwamba siku ya kuzaliwa na kufa ya kila binadamu anaijua Mungu. Akaiamua kukuita kwake, huwezi kupinga kifo kwa namna yoyote.

 

10 years ago

GPL

POLISI WAUA MGONJWA WA AKILI DALLAS, MAREKANI

Jason Harrison  aliyeuawa na polisi kwa kupigwa risasi. Harrison akiwa amesimama mlangoni na  bisibisi na polisi (kulia) akimwambia aitupe chini. …Akiondoka mlengoni ambapo polisi walimfyatulia risasi kadhaa.…

 

9 years ago

Michuzi

Mtaalamu wa Upasuaji wa Uti wa Mgongo na Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu kutoka Hospitali za Apollo kuendesha huduma Dar

Na Mwandishi Wetu,

Tanzania ni moja ya nchi ambazo ina uhaba mkubwa wa madaktari bingwa wa mfumo wa fahamu kitendo kinachopelekea nchi kupoteza fedha nyingi kwa kuwapeleka wagonjwa wa matatizo ya aina hiyo nje ya nchi kupata matibabu na ushauri.
Inakadiriwa kuwa watoto wachanga 1000 kati 4000 wanaozaliwa na tatizo la mfumo wa fahamu hupatiwa matibabu huku wengine 3000 wakishindwa kupatiwa matibabu.
Kutokana na hali hiyo, Hospitali ya Apollo ya nchini India imemleta nchini daktari bingwa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Magonjwa ya akili tishio kwa vijana

ASILIMIA 61 ya wagonjwa wa akili katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza inasadikiwa kuwa ni vijana, hali ambayo imeelezwa inachangia ongezeko la umasikini katika jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa makazi unachochea hatari ya kupata magonjwa ya akili

>Iwapo unaishi ndani ya nyumba yenye ua mzuri, kuta, paa na vitanda vizuri lakini bado unapata maradhi, je? Wanaishije wale waliokosa makazi kabisa?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...

 

11 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa adaiwa kupigwa risasi

Hali ni tete katika Kijiji cha Lang’ata Bora wilayani Mwanga kutokana na askari polisi kumpiga risasi mvuvi katika kijiji hicho jana asubuhi na kumvunja mguu, tukio lililogubikwa na utata.

 

10 years ago

GPL

MAJAJI BONGO KUPIGWA RISASI

ENDAPO ulinzi binafsi na wa kazini hautaimarishwa kwa majaji, uwezekano ni mkubwa wa watu wabaya kuwavamia ofisini na kuwapiga risasi kwa sababu ya hukumu zao za kunyonga au kufunga watu jela maisha, Risasi Jumamosi limebaini. Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.  Hilo limekuja kufuatia chanzo kimoja toka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kupiga simu kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani