Tishio kwa uhuru wa kujieleza Misri
Muungano wa waandishi habari Misri umeonya kwamba sheria mpya dhidi ya ugaidi huenda ikazorotesha zaidi uhuru wa kujieleza nchini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 May
Mawaziri kujieleza kwa Kikwete
IKIWA ni takribani mwaka mmoja sasa tangu Serikali ilipoamua kuanza kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), hatimaye mawaziri wanaotekeleza Mpango huo watawekwa `kikaangoni’ Julai mwaka huu.
10 years ago
StarTV09 Jan
Tatizo la Kukaimu kwa muda mrefu, TAMISEMI yapewa siku sita kujieleza
Na Seda Elias,
Dar es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa LAAC imetoa siku sita kwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kutoa majibu ya tatizo la watendaji wa Serikali kukaimu nafasi mbalimbali kwa muda mrefu.
Ni agizo la Mwenyekiti wa Kamati hiyo Rajab Mbaruk Mohamed wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya Manispaa ya Ilala jijini Dar Es Salaam.
Mwenyekiti huyo wa LAAC amesema tatizo la kukaimu nafasi nyeti katika Serikali limekuwa ni sugu kwenye...
10 years ago
Vijimambo16 Apr
WAZIRI KIVULI WA ELIMU APINGA SERIKALI KUWATAKA WALIMU KUJIELEZA KWA WAKUU WA MIKOA
Na MwandishiWetu
WAZIRI kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lymo, amepinga kitendo cha serikali cha kuwataka walimu waliofunga shule kutokana na uhaba wa chakula waende wakajieleze kwa Mkuu wa Mkoa kutokana na hatua hiyo.
Suzan, alitoa kauli hiyo baada ya serikali kudai...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
10 years ago
Mwananchi17 Aug
Tchetche, 3-5-2 tishio kwa Yanga
10 years ago
Michuzi
UTAPIAMLO TISHIO KWA NCHI ZINAZOENDELEA

11 years ago
Habarileo19 Sep
Ebola wadaiwa tishio kwa uchumi
MKUU wa Benki ya Dunia, Jim Kim amehadharisha kuwa kuenea kwa ugonjwa wa ebola kunaweza kusababisha janga la kiuchumi katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone na ametaka hatua zichukuliwe haraka ili kuzuia kuenea zaidi ugonjwa huo.
11 years ago
Habarileo14 Aug
Magonjwa ya akili tishio kwa vijana
ASILIMIA 61 ya wagonjwa wa akili katika Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza inasadikiwa kuwa ni vijana, hali ambayo imeelezwa inachangia ongezeko la umasikini katika jamii.