Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri kujieleza kwa Kikwete

IKIWA ni takribani mwaka mmoja sasa tangu Serikali ilipoamua kuanza kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), hatimaye mawaziri wanaotekeleza Mpango huo watawekwa `kikaangoni’ Julai mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tishio kwa uhuru wa kujieleza Misri

Muungano wa waandishi habari Misri umeonya kwamba sheria mpya dhidi ya ugaidi huenda ikazorotesha zaidi uhuru wa kujieleza nchini

 

10 years ago

StarTV

Tatizo la Kukaimu kwa muda mrefu, TAMISEMI yapewa siku sita kujieleza

Na Seda Elias,

Dar es Salaam.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa LAAC imetoa siku sita kwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kutoa majibu ya tatizo la watendaji wa Serikali kukaimu nafasi mbalimbali kwa muda mrefu.

Ni agizo la Mwenyekiti wa Kamati hiyo Rajab Mbaruk Mohamed wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya Manispaa ya Ilala jijini Dar Es Salaam.

Mwenyekiti huyo wa LAAC amesema tatizo la kukaimu nafasi nyeti katika Serikali limekuwa ni sugu kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI CHA KWANZA KWA MWAKA HUU WA 2015

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri chakwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015.Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali na kushotokwake ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
PICHA NA IKULU

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI KIVULI WA ELIMU APINGA SERIKALI KUWATAKA WALIMU KUJIELEZA KWA WAKUU WA MIKOA

Waziri Kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lyimo (Chadema) akifafanua jambo jijini Dar es Salaam leo, kuhusu matatizo katika sekta ya elimu. Kushoto ni Katibu wa Bawacha, Grace Tendega. (Picha na Francis Dande)
Na MwandishiWetu
WAZIRI kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lymo, amepinga kitendo cha serikali cha kuwataka walimu waliofunga shule kutokana na uhaba wa chakula waende wakajieleze kwa Mkuu wa Mkoa kutokana na hatua hiyo.

Suzan, alitoa kauli hiyo baada ya serikali kudai...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete abadili mawaziri

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko muhimu katika Baraza la Mawaziri, kuziba pengo lililoachwa na mawaziri wawili, kutokana na kashfa ya utoaji wa fedha katika iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT).

 

11 years ago

BBCSwahili

Kikwete afukuza mawaziri wanne TZ

Mawaziri wanne wa Tanzania wamefukuzwa kazi na rais wa nchi hiyo Jakaya Kikiwete baada ya kutengua uteuzi wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani