Mawaziri kujieleza kwa Kikwete
IKIWA ni takribani mwaka mmoja sasa tangu Serikali ilipoamua kuanza kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), hatimaye mawaziri wanaotekeleza Mpango huo watawekwa `kikaangoni’ Julai mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Tishio kwa uhuru wa kujieleza Misri
10 years ago
StarTV09 Jan
Tatizo la Kukaimu kwa muda mrefu, TAMISEMI yapewa siku sita kujieleza
Na Seda Elias,
Dar es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa LAAC imetoa siku sita kwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kutoa majibu ya tatizo la watendaji wa Serikali kukaimu nafasi mbalimbali kwa muda mrefu.
Ni agizo la Mwenyekiti wa Kamati hiyo Rajab Mbaruk Mohamed wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya Manispaa ya Ilala jijini Dar Es Salaam.
Mwenyekiti huyo wa LAAC amesema tatizo la kukaimu nafasi nyeti katika Serikali limekuwa ni sugu kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-njgLPw4fGrM/VLki9jygqHI/AAAAAAADVnE/zugpiqOUNBc/s72-c/cb1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI CHA KWANZA KWA MWAKA HUU WA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-njgLPw4fGrM/VLki9jygqHI/AAAAAAADVnE/zugpiqOUNBc/s1600/cb1.jpg)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Vijimambo16 Apr
WAZIRI KIVULI WA ELIMU APINGA SERIKALI KUWATAKA WALIMU KUJIELEZA KWA WAKUU WA MIKOA
Na MwandishiWetu
WAZIRI kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lymo, amepinga kitendo cha serikali cha kuwataka walimu waliofunga shule kutokana na uhaba wa chakula waende wakajieleze kwa Mkuu wa Mkoa kutokana na hatua hiyo.
Suzan, alitoa kauli hiyo baada ya serikali kudai...
10 years ago
Habarileo25 Jan
Kikwete abadili mawaziri
RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko muhimu katika Baraza la Mawaziri, kuziba pengo lililoachwa na mawaziri wawili, kutokana na kashfa ya utoaji wa fedha katika iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT).
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Kikwete afukuza mawaziri wanne TZ