Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK
Kunenepa ni tishio kubwa kwa afya ya wanawake pamoja na ile ya vizazi vijavyo, ameonya Afisa mkuu wa matibabu nchini Uingereza Dame Sally Davies.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Jambazi tishio kwa wanawake Arusha auawa
Jeshi la Polisi mkoani Arusha limefanikiwa kumuua jambazi aliyekuwa akiutikisa mkoa huo kwa matukio ya kuteka na kuwapora wanawake wenye magari na kisha kuwapiga risasi.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Uzito mkubwa kwa mtoto ni tatizo kiafya
Katika pitapita zangu nilibahatika kupitia mtandao mmoja wa kimataifa hivi karibuni. Nilishutushwa na habari iliyokuwa na kichwa cha habari, “Wazazi wenye watoto walio na uzito mkubwa kupigwa faini ya Dola 800 sheria ikipitishwaâ€.
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Changamoto za kiafya na kisaikolojia kwa ‘single mothers’-2
Ni kweli kabisa kwamba malezi ya mzazi mmoja wakati wote ni yenye changamoto sana kwa mzazi mwenyewe na hata kwa watoto. Hapa namaanisha malezi ya baba peke yake au ya mama peke yake “single mothersâ€.
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Uyoga unazuia mtu kunenepa :Utafiti
Utafiti nchini Taiwan na Uchina umebaini kuwa uyoga unaweza kutumika kuwasaidia watu kupunguza unene.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Tabia hatarishi kwa maisha ya Watanzania;nyingi ni hatari kiafya
>Kwa siku kadhaa kuanzia leo, safu hii itaangazia baadhi ya tabia na mienendo ya Watanzania ambayo wataalamu wanasema ni hatari kwa maisha yetu.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Maono ya kiafya ya Profesa Kairuki bado ni hai kwa jamii
Michango ya baadhi ya watu duniani waliojitoa kwa dhati katika kuchangia sekta muhimu, kama afya haina budi kuendelezwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KbWIw5ZILo0/Xt0IOauqERI/AAAAAAALs6o/Jzk71kb03nUQ8ZiK0giWzSWTqyBSE1JjQCLcBGAsYHQ/s72-c/a588fb62-8cdb-476a-acc2-fdae9008b3d8.jpg)
Kukonda, Kunenepa, Furaha na Hasira zisizokwisha sasa zinarejea tena, tuanze kujiandaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-KbWIw5ZILo0/Xt0IOauqERI/AAAAAAALs6o/Jzk71kb03nUQ8ZiK0giWzSWTqyBSE1JjQCLcBGAsYHQ/s640/a588fb62-8cdb-476a-acc2-fdae9008b3d8.jpg)
Charles James, Michuzi TV
NGOMA inarudi! Kipute kinalia, mbugi linarudi mwanangu, vita vinarejea, mtanange unaputwa ili uanze kupigwa. Furaha yenye mateso tuliyokua tumeimiss kitambo sasa inakuja kwenye macho yetu.
Ipo hivi; Baada ya miezi miwili ya Ligi mbalimbali za Soka duniani kusimamishwa kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid19 'Corona' sasa filimbi zinapulizwa kuashiria ligi zinarejea.
Ligi zinarudi baada ya Serikali za Nchi mbalimbali kuruhusu michezo kuanza kutokana na kuridhishwa...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
‘Wekeza kwa maisha ya baadaye, ishinde Malaria’ hii ni kauli mbiu ya mwaka huu katika maadhimisho ya siku ya Malaria duniani ambayo inaadhimishwa leo duniani kote.
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Tchetche, 3-5-2 tishio kwa Yanga
Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema hana wasiwasi na mfumo wa 3-5-2 unaotumiwa na Azam FC tayari ameshapata mbinu ya kuwamaliza katika mchezo wa Ngao ya Jamii utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania