Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tabia hatarishi kwa maisha ya Watanzania;nyingi ni hatari kiafya

>Kwa siku kadhaa kuanzia leo, safu hii itaangazia baadhi ya tabia na mienendo ya Watanzania ambayo wataalamu wanasema ni hatari kwa maisha yetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tabia na tamaduni hatarishi zinazochangia maambukizi ya VVU kwa Vijana zabainishwa

DSC_0092

 Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akitoa mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ua VVU kwa Vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa.

Na Mwandishi wetu

Idadi kubwa ya Vijana hususan wa kike wenye umri kati ya miaka 15 hadi 24 wanaanza kufanya mapenzi katika umri mdogo jambo ambalo linaashiria hatari ya maambukizi ya VVU ikilinganishwa na  idadi ya...

 

11 years ago

GPL

TABIA NA TAMADUNI HATARISHI ZINAZOCHANGIA MAAMBUKIZI YA VVU KWA VIJANA ZABAINISHWA‏

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akitoa mada kuhusu tabia hatarishi zinazochangia maambukizi mapya ua VVU kwa Vijana katika warsha ya siku tatu ya Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika katika Kituo cha Redio cha Nuru FM mjini Iringa. Mratibu na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO, Bi. Rose Haji Mwalimu akichangia mada iliyotolewa na Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Faida nyingi za uyoga kiafya

Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kufanya kazi kwa saa nyingi ni hatari

Utafiti umeeleza kuwa Watu wanaofanya kazi kwa saa nyingi wako hatarini kupata kiharusi

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini shirika la afya duniani linasema hatua ya kujishika uso ni hatari kwa maisha yako?

Ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus kuingia katika miili yetu, madaktari na maafisa wa afya wanatuambia kutoshika macho yetu, pua na mdomo. Lakini hilo sio rahisi kama inavyofikiriwa.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao

Askari Mkunde Said akimpima kiwango cha pombe dereva wa basi la mikoani, Emanuel Mkulangya kwa kutumia kifaa maalumu ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya Usalama Barabarani ya kudhibiti ajali, mkoani Mbeya juzi. (Picha kwa hisani ya Vodacom).MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume wanahatarisha maisha yao kiafya

Wasomaji wa Piramidi ya afya, mwaka mpya na mambo mapya. Baada ya kuongelea mambo mengi yanayomhusu mama na mtoto kwa takriban miaka miwili, sasa tunamgeukia baba (mwanaume).

 

11 years ago

Mwananchi

Siri za kiafya za kuishi maisha marefu

Aghalabu maisha ya mwanadamu yeyote yule yapo mikononi mwa muumba wake, ambaye hujua lini muda wa kuishi wa kiumbe wake utakwisha. Lakini mtindo wa maisha yetu usiojali kanuni za afya, umeonyesha kuwa ndicho chanzo cha watu wengi kuishi maisha mafupi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtindo bora wa maisha unavyoleta mageuzi kiafya

>Tabia na mienendo ya watu kimaisha imekuwa ni sababu ya matatizo kwao, jamii na hata kwa uchumi wa nchi ambao unahitaji sana nguvu kazi inayotokana na afya njema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani